Umeongea ukweli mtupu mkuu. Si unaona hata mteule wa Rais naye anawakandamiza wananchi kwa kubariki huu unyama wa hawa askari akina Tesha.Nchi hii mwananchi wa kawaida hajawai kuheshimika.Ndo maana unaona kuna mambo ya ovyo ovyo kila mahali yanayofanywa na vyombo vya serikali dhidi ya wananchi.Hadi siku mwananchi atakapotambua thamani yake ndio siku atakayoanza kuheshimika.ila sio mbaya polepole tutafika tu.Kwasasa wacha tuendelee kupiga kelele labda zitaamsha waliolala usingizi wa pono.
Ni kweli kiongozi. Muarobaini wa haya yote ni katiba mpya pekee.Pigania katiba mpya hamtaki tungekuwa na katiba bora huyu OCD tungemshitak kwenye independent judiciary
Hujakosea mkuu, maana yake ni "Bwawa la Simba".Tanda-himba-shimo la Simba.
Wenyewe wanaujua mziki wake. Hawatasahau kipigo walichokipata uchaguzi mkuu wa 2015. Kilikuwa cha paka kidokozi hasa.Kama CCM hawslitaki litabebwa. Lkn Kama wanalitka, watatumia medani za wizi wa dola
Umeonaeee, huyu DC mwache ajichekeshe na hawa wahuni akina Tesha. Atakuja kujuta kwa tamaa za fedha kiduchu za kunywea pombe pale ghorofani.Wenyewe wanaujua mziki wake. Hawatasahau kipigo walichokipata uchaguzi mkuu wa 2015. Kilikuwa cha paka kidokozi hasa.
kwani lazima upate ushindi kwa wingi wa kura siku hizi?Sio kwa Tandahimba ninayoifahamu mimi. Hapa CCM wana mlima watavuja jasho sana 2025.
Mbona mwaka jana ilikuwa rahisi? 2025 ugumu unatoka wapi? Police, Tume, DED, DC(kamati ya ulinzi na usalama) wote ni CCM kuna jipya hapo?Sio rahisi kwa Tandahimba.
Kwahiyo ndo maana hawa polisi kwa kushirikiana na wateule wa Rais wanaona ni vema tu kuwatesa wapiga kura wao? Leo hii amekamatwa hata diwani wa kata ya hapa mjini mzee Chipande akiwa anatoka kufuatilia ujenzi wa madarasa unaoendelea kwenye shule ya sekondari Nandonde.Hakuna wa kutushinda popote hatutishwi na nyau. CCM popote inashinda au kupita bila kupingwa allah. Hili lazima liwaingie kichwani.
Wapinzani watabadili mbinu na watatafuta namna nzuri ya kukabiliana na hujuma. Huwezi jua mkuu.Mbona mwaka jana ilikuwa rahisi? 2025 ugumu unatoka wapi? Police, Tume, DED, DC(kamati ya ulinzi na usalama) wote ni CCM kuna jipya hapo?
Sina namba yake mkuu, kama unayo nitumie DM nimtwangie fasta, ndugu zake wanateseka sana mkuu.Huko ni nyumbani kwa Konde Boy.Mcheki kwa simu , mpe ishu yote....yeye ana connection na ikulu hivyo ujumbe utafika dk sifuri....IAM SERIOUS
Anhaaa...sawa sawa! Huko wachawi sana nilipoteza marafiki zangu wawili hapo Halmashauri, walikuwa wahasibu. Alianza mshikaji wangu Mayala akafuatia Minja.Siko Chitoholi wala sipo Mikunda, me nko hapa mjini mkuu. Naishi hapa Majumba saba.
Yaani hao polisi ni hatari sana. Wamemsulubu hata Diwani!?Kwahiyo ndo maana hawa polisi kwa kushirikiana na wateule wa Rais wanaona ni vema tu kuwatesa wapiga kura wao? Leo hii amekamatwa hata diwani wa kata ya hapa mjini mzee Chipande akiwa anatoka kufuatilia ujenzi wa madarasa unaoendelea kwenye shule ya sekondari Nandonde.
Hiyo futa kichwani mwako kabisa hakuna namna zaidi ya tume huru ya uchaguziWapinzani watabadili mbinu na watatafuta namna nzuri ya kukabiliana na hujuma. Huwezi jua mkuu.