Strong25
JF-Expert Member
- Dec 6, 2021
- 394
- 834
2024 ulikuwa nimwaka mgumu sana kwangu, sijui wapi nilifeli maana kama ni kupambana nimepambana sana ila sijaona hatua nilizopiga zaidi yamaumivu tu.
Mwaka huu kama Mungu atanipa pumzi na afya njema basi nitahakikisha napambana mpaka tone la mwisho la jasho na damu
Kabla sijaharibu uzi kwa wale ambao mmetoboa maisha mna kipi cha kunishauri nini niache, nini nifanye, njia gani nipite, ipi nisipite maana 2024 nimefanya karibia kila kitu kilichopo ndani ya uwezo wangu ila nimeambulia patupu
Naombeni muongozo wazee wangu ili kijana wenu nifike huko nakotaka kufika
Mwaka huu kama Mungu atanipa pumzi na afya njema basi nitahakikisha napambana mpaka tone la mwisho la jasho na damu
Kabla sijaharibu uzi kwa wale ambao mmetoboa maisha mna kipi cha kunishauri nini niache, nini nifanye, njia gani nipite, ipi nisipite maana 2024 nimefanya karibia kila kitu kilichopo ndani ya uwezo wangu ila nimeambulia patupu
Naombeni muongozo wazee wangu ili kijana wenu nifike huko nakotaka kufika