Pre GE2025 2025 patachimbika kwa moto huu, CHADEMA muwe na mipango hii ya kuingia Ikulu

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
In
InshaAllah
 
Pointi
 
Akili mgando pamoja na uozo wote huu bado unashabikia CCM kweli? Au nawe ni sehemu ya wanufaika msiokuwa hata na chembe ya aibu.
Wewe unashabikia chama gani na kimeishakusaidia vipi kukuondolea uozo ulionao kiasi kwamba unataka kiwaondolee na Watanzania wengine kama wewe? Ahahahahaha!!!
 
What you are trying to say is what The Legend Late Magufuli tried to do but still some imbeciles opposed him. He built Mwl. Nyerere HEP they opposed. He built SGR they opposed. What else could He do to this imbeciles?
 
To be honest, Lissu agombee tu ubunge, we need him bungeni. Urais hawezi kushinda, asipoteze pottential yake kwenye vitu hawezi kupata
Umeongea kweli,lkn hata jimboni Hatashinda sababu ya kuhujumiwa na Mbowe kwa maelekezo ya serikali
 
Ni kweli CDM kama wana akili kura za Magufuri waziendee kiufundi ni nyingi bado zinaelea mno, kutokana na mgawanyiko wa CCM Ndani
 
Ni kweli CDM kama wana akili kura za Magufuri waziendee kiufundi ni nyingi bado zinaelea mno, kutokana na mgawanyiko wa CCM Ndani
Magufuli wapiga kura wengi bado wanamuelewa sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…