Pre GE2025 2025 tunahitaji mdahalo wa wagombea Urais kama ilivyofanyika kwa TLS. Unawaweka wagombea kwa uhalisia wao, hakuna longolongo

Pre GE2025 2025 tunahitaji mdahalo wa wagombea Urais kama ilivyofanyika kwa TLS. Unawaweka wagombea kwa uhalisia wao, hakuna longolongo

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Cute Wife

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2023
Posts
1,906
Reaction score
5,000
Wakuu,

Mwakani wagombea Urais wanatakiwa kufanyiwa mdahalo kama huu ulioendesha leo na Star Tv.

Pia soma: Mdahalo wa Wagombea Urais Chama cha Mawakili Tanzania Bara (TLS) mwaka 2024

Kupitia mdahalo huo unaona kabisa huyu anafaa huyu amejaa pumba, na wengine wapo kwaajili ya kujaza nafasi tu.

Hii itasaidia wananchi kufanya maamuzi sahihi na kutodanganyika na doti za kanga au kofia za vyama.

Au nasema uongo chawa na nyuki wa mama?
 
Wakuu,

Mwakani wagombea Urais wanatakiwa kufanyiwa mdahalo kama huu ulioendesha leo na Star Tv.

Kupitia mdahalo huo unaona kabisa huyu anafaa huyu amejaa pumba, na wengine wapo kwaajili ya kujaza nafasi tu.

Hii itasaidia wananchi kufanya maamuzi sahihi na kutodanganyika na doti za kanga au kofia za vyama.

Au nasema uongo chawa na nyuki wa mama?
Hahah dhubutu yako, kwa wabunge hawa ambao bado kugezo ni kujua na kusoma na kuandika? Utapata 2% tu au usipate kabisa

Hawato kubali
 
Tatizo kuna mgombea mmoja atakuja kwenye mdahalo na rungu la dola kiunoni.​
 
..ndugu zetu wa Kenya wana uzoefu wa kuendesha midahalo ya wagombea Uraisi.

..Nashauri Tanzania tuazime watangazaji toka Kenya waje watufanyie mdahalo wa wagombea Uraisi.

..waandishi na watangazaji wa Tanzania hawana uzoefu, ni waoga, na ni machawa.
 
Wakuu,

Mwakani wagombea Urais wanatakiwa kufanyiwa mdahalo kama huu ulioendesha leo na Star Tv.

Kupitia mdahalo huo unaona kabisa huyu anafaa huyu amejaa pumba, na wengine wapo kwaajili ya kujaza nafasi tu.

Hii itasaidia wananchi kufanya maamuzi sahihi na kutodanganyika na doti za kanga au kofia za vyama.

Au nasema uongo chawa na nyuki wa mama?
Kamwe haitakuja kutokea hili nchini Tanzania. Je, unakumbuka yaliyomkuta Tido Mhando wakati alipokuwa Mkurugenzi Mkuu wa TBC alipojaribu kufanya midahalo ya namna hiyo kwenye Uchaguzi Mkuu wa Mwaka 2010?

Kumbuka: Tawala zote kabisa za Kikomunisti/Ujamaa hapa duniani hazitaki kabisa kusikia kuhusu suala la Demokrasia, Haki, Uwazi (Transparency) Wala suala la Utawala bora wa Sheria. Zote kabisa zimejaa ubatili tupu, kwanza wengi wa watawala hao wako empty kabisa kichwani, halafu wewe unataka kuwashindanisha kwa midahalo??? Unataka kuwavua nguo??
 
Hotuba tu ukiisikiliza unabaki 'hiiiiiii bagosha'🙆 na hapo ameandaliwa.

Sasa mdahalo si ndio kimbembe!
 
Wakuu,

Mwakani wagombea Urais wanatakiwa kufanyiwa mdahalo kama huu ulioendesha leo na Star Tv.

Kupitia mdahalo huo unaona kabisa huyu anafaa huyu amejaa pumba, na wengine wapo kwaajili ya kujaza nafasi tu.

Hii itasaidia wananchi kufanya maamuzi sahihi na kutodanganyika na doti za kanga au kofia za vyama.

Au nasema uongo chawa na nyuki wa mama?
Hivi Unadhani Inawezekana! Kwanini Samia akajikaange mwenyewe.
 
Back
Top Bottom