Tetesi: 2025 wapiga kura ni milioni 33, hofu yatanda juu ya ujio wa wapiga kura chipukizi

Tetesi: 2025 wapiga kura ni milioni 33, hofu yatanda juu ya ujio wa wapiga kura chipukizi

Freed Freed

JF-Expert Member
Joined
Jun 27, 2017
Posts
6,547
Reaction score
7,167
Kwa chanzo nyeti chama kongwe ni kuwa wapiga kura October 2025, yakadiriwa kufika million 33. Hali hii yawatisha wenye chama.

Chanzo hicho kimeniambia ujio ya wapiga kura watoto kama alivyosema yeye, haivutii hata kidogo.
Kaniambia kuna hofu ya mabadiliko makubwa ya matokeo na wakubwa wanajipanga vilivyo.

Mmoja ya mipango ni kutoa ajira kwa wahitimu wengi wa vyuo waliopo mitaani. Hata hivyo anaonya hatuwezi kuajiri watu zaidi efu 60 kuanzia sasa hadi October 2025 kwani wahitimu ni zaidi ya laki 4.
Kuna mbinu nyingine kaniambia bado ni mapema kuivujisha.
 
Kwa chanzo nyeti chama kongwe ni kuwa wapiga kura October 2025, yakadiriwa kufika million 33. Hali hii yawatisha wenye chama.

Chanzo hicho kimeniambia ujio ya wapiga kura watoto kama alivyosema yeye, haivutii hata kidogo.
Kaniambia kuna hofu ya mabadiliko makubwa ya matokeo na wakubwa wanajipanga vilivyo.

Mmoja ya mipango ni kutoa ajira kwa wahitimu wengi wa vyuo waliopo mitaani. Hata hivyo anaonya hatuwezi kuajiri watu zaidi efu 60 kuanzia sasa hadi October 2025 kwani wahitimu ni zaidi ya laki 4.
Kuna mbinu nyingine kaniambia bado ni mapema kuivujisha.
hofu ya nini tena katika ukuaji, ustawi na kushamiri kwa Demokrasia endelevu 🐒
 
Kwa chanzo nyeti chama kongwe ni kuwa wapiga kura October 2025, yakadiriwa kufika million 33. Hali hii yawatisha wenye chama.

Chanzo hicho kimeniambia ujio ya wapiga kura watoto kama alivyosema yeye, haivutii hata kidogo.
Kaniambia kuna hofu ya mabadiliko makubwa ya matokeo na wakubwa wanajipanga vilivyo.

Mmoja ya mipango ni kutoa ajira kwa wahitimu wengi wa vyuo waliopo mitaani. Hata hivyo anaonya hatuwezi kuajiri watu zaidi efu 60 kuanzia sasa hadi October 2025 kwani wahitimu ni zaidi ya laki 4.
Kuna mbinu nyingine kaniambia bado ni mapema kuivujisha.
Kwani wapiga kura vijana ndio wanaanza mwaka 2025? Miaka mingine hawakuwepo?
 
Kwa chanzo nyeti chama kongwe ni kuwa wapiga kura October 2025, yakadiriwa kufika million 33. Hali hii yawatisha wenye chama.

Chanzo hicho kimeniambia ujio ya wapiga kura watoto kama alivyosema yeye, haivutii hata kidogo.
Kaniambia kuna hofu ya mabadiliko makubwa ya matokeo na wakubwa wanajipanga vilivyo.

Mmoja ya mipango ni kutoa ajira kwa wahitimu wengi wa vyuo waliopo mitaani. Hata hivyo anaonya hatuwezi kuajiri watu zaidi efu 60 kuanzia sasa hadi October 2025 kwani wahitimu ni zaidi ya laki 4.
Kuna mbinu nyingine kaniambia bado ni mapema kuivujisha.
Yaani watoto wa 2000+ watie wacwas?

Ngoja tuone
 
Hio 33M yenyewe ni kubwa mno, kama kuna watakaoenda kituoni basi ni kama 12M tu na wala wasitegemee miujiza maana kura nyingi miongoni mwao zitakuwa za "HAPANA" ukiacha wale walioajiriwa na kulamba asali.
 
Idadi hiyo ni idadi ya kupika, na huu ni muendelezo wa daftari liliharabiwa wakati wa Magufuli Ili kumuwezesha kupata kura za uongo.

Sensa ya juzi ilionyesha Tanzania ina watu 61m+. Hakuna uwezekano kwa nchi kuwa na watu sawa walio juu ya miaka 18+ na walioko chini ya umri huo. Wanachojaribu kusema ni kuwa Kila watanzania wawili, mmoja atajiandikisha kupiga kura, jambo ambalo sio kweli. Ni watu wajinga tu watajitokeza kupiga kura kwenye mazingira ambayo ni wazi toka awali ni ya udanganyifu. Wakitaka wakubali daftari lianze upya, na hilo likifanyika hakuna uwezekano wa wapiga kura kufika 20m.
 
Kwa chanzo nyeti chama kongwe ni kuwa wapiga kura October 2025, yakadiriwa kufika million 33. Hali hii yawatisha wenye chama.

Chanzo hicho kimeniambia ujio ya wapiga kura watoto kama alivyosema yeye, haivutii hata kidogo.
Kaniambia kuna hofu ya mabadiliko makubwa ya matokeo na wakubwa wanajipanga vilivyo.

Mmoja ya mipango ni kutoa ajira kwa wahitimu wengi wa vyuo waliopo mitaani. Hata hivyo anaonya hatuwezi kuajiri watu zaidi efu 60 kuanzia sasa hadi October 2025 kwani wahitimu ni zaidi ya laki 4.
Kuna mbinu nyingine kaniambia bado ni mapema kuivujisha.
Wapiga kura milioni 33 ??
Labda wapiga kura Maruhani na kura za Maruhani ndio zitafika idadi hiyo 👁🙄
 
Hio 33M yenyewe ni kubwa mno, kama kuna watakaoenda kituoni basi ni kama 12M tu na wala wasitegemee miujiza maana kura nyingi miongoni mwao zitakuwa za "HAPANA" ukiacha wale walioajiriwa na kulamba asali.
Wao washasema ni zaidi ya million 34
 
Idadi hiyo ni idadi ya kupika, na huu ni muendelezo wa daftari liliharabiwa wakati wa Magufuli Ili kumuwezesha kupata kura za uongo.

Sensa ya juzi ilionyesha Tanzania ina watu 61m+. Hakuna uwezekano kwa nchi kuwa na watu sawa walio juu ya miaka 18+ na walioko chini ya umri huo. Wanachojaribu kusema ni kuwa Kila watanzania wawili, mmoja atajiandikisha kupiga kura, jambo ambalo sio kweli. Ni watu wajinga tu watajitokeza kupiga kura kwenye mazingira ambayo ni wazi toka awali ni ya udanganyifu. Wakitaka wakubali daftari lianze upya, na hilo likifanyika hakuna uwezekano wa wapiga kura kufika 20m.
Mkuu, sio tetesi tena, Tume imesema ni zaidi ya wapiga kura million 34.
 
Shida wanaojitokeza kupiga kura huwa ni nusu au chini ya nusu ya wapiga kura wote walioandikishwa.. Wengine tunakuwa wapi.. Ushauri wangu ni tujitokeze wote kwa umoja wetu siku ya kupiga kura tUkaikatae CCM..
 
Hawa wa afu mbili watanyimwa tu haki ya kujiandikisha basi mchongo unafia hapo, wanabaki na Wazee wao wakike wajinga wajinga waishio vijijini.
 
Idadi hiyo ni idadi ya kupika, na huu ni muendelezo wa daftari liliharabiwa wakati wa Magufuli Ili kumuwezesha kupata kura za uongo.

Sensa ya juzi ilionyesha Tanzania ina watu 61m+. Hakuna uwezekano kwa nchi kuwa na watu sawa walio juu ya miaka 18+ na walioko chini ya umri huo. Wanachojaribu kusema ni kuwa Kila watanzania wawili, mmoja atajiandikisha kupiga kura, jambo ambalo sio kweli. Ni watu wajinga tu watajitokeza kupiga kura kwenye mazingira ambayo ni wazi toka awali ni ya udanganyifu. Wakitaka wakubali daftari lianze upya, na hilo likifanyika hakuna uwezekano wa wapiga kura kufika 20m.
Upo sahii mkuu, humo kuna under five, plus under 18 , ila bado wapo wanaoendelea kutwaliwa , 33m ni janja janja tu
 
Back
Top Bottom