2030: CCM kutoa Wagombea Wapya JMT na Zanzibar

2030: CCM kutoa Wagombea Wapya JMT na Zanzibar

Kirchhoff

JF-Expert Member
Joined
Nov 4, 2010
Posts
5,735
Reaction score
8,541
Matokeo ya Mkutano Mkuu Maalum wa CCM Taifa yamewatangaza Rais Dkt Samia Suluhu Hassan Pamoja Na Rais Dkt Hussein Ali Mwinyi Kuwa wagombea Urais 2025-2030.

Marais hawa watakuwa wanakamilisha Ngwe zao za Pili za Uongozi katika Ngazi ya Urais Katika Serikali za Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Kutokana na Utamaduni wa CCM na Pia kutokana na Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Marais hawa hawataweza kugombea tena Nafasi hizo Mwaka 2030-2035.

Hivyo Tutarajie wagombea wapya pande zote mwaka huo wa 2025.

Awamu za nyuma Ilikuwa Mgombea Urais Mpya wa JMT anamkuta Mgombea wa Zanzibar ambaye Ni Rais au Mgombea Mpya Zanzibar anamkuta Mgombea wa JMT ambaye Ni Rais. Hii ilisaidia sana Chama Cha Mapinduzi katika Kushinda Urais

Mf. Dkt Magufuli alimkuta Mohamed Shain, vilevile Dkt Hussein Mwinyi alimkuta Magufuli.
2030 watakutana wapya wote.

Kidumu Chama Cha Mapinduzi.
 
Matokeo ya Mkutano Mkuu Maalum wa CCM Taifa yamewatangaza Rais Dkt Samia Suluhu Hassan Pamoja Na Rais Dkt Hussein Ali Mwinyi Kuwa wagombea Urais 2025-2030.

Marais hawa watakuwa wanakamilisha Ngwe zao za Pili za Uongozi katika Ngazi ya Urais Katika Serikali za Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Kutokana na Utamaduni wa CCM na Pia kutokana na Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Marais hawa hawataweza kugombea tena Nafasi hizo Mwaka 2030-2035.

Hivyo Tutarajie wagombea wapya pande zote mwaka huo wa 2025.

Awamu za nyuma Ilikuwa Mgombea Urais Mpya wa JMT anamkuta Mgombea wa Zanzibar ambaye Ni Rais au Mgombea Mpya Zanzibar anamkuta Mgombea wa JMT ambaye Ni Rais. Hii ilisaidia sana Chama Cha Mapinduzi katika Kushinda Urais

Mf. Dkt Magufuli alimkuta Mohamed Shain, vilevile Dkt Hussein Mwinyi alimkuta Magufuli.
2030 watakutana wapya wote.

Kidumu Chama Cha Mapinduzi.
Kwanini haikutoa sasa hata macho hawana,je na masikio hawana?Kusikia au japo kuona au kijifunza kwa chama bora katika viwango vya top 5 afrika,viwango top 15 ulaya na viwango vya top 45 duniani?Chama bora CHADEMA.
 
Matokeo ya Mkutano Mkuu Maalum wa CCM Taifa yamewatangaza Rais Dkt Samia Suluhu Hassan Pamoja Na Rais Dkt Hussein Ali Mwinyi Kuwa wagombea Urais 2025-2030.

Marais hawa watakuwa wanakamilisha Ngwe zao za Pili za Uongozi katika Ngazi ya Urais Katika Serikali za Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Kutokana na Utamaduni wa CCM na Pia kutokana na Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Marais hawa hawataweza kugombea tena Nafasi hizo Mwaka 2030-2035.

Hivyo Tutarajie wagombea wapya pande zote mwaka huo wa 2025.

Awamu za nyuma Ilikuwa Mgombea Urais Mpya wa JMT anamkuta Mgombea wa Zanzibar ambaye Ni Rais au Mgombea Mpya Zanzibar anamkuta Mgombea wa JMT ambaye Ni Rais. Hii ilisaidia sana Chama Cha Mapinduzi katika Kushinda Urais

Mf. Dkt Magufuli alimkuta Mohamed Shain, vilevile Dkt Hussein Mwinyi alimkuta Magufuli.
2030 watakutana wapya wote.

Kidumu Chama Cha Mapinduzi.
Kwanini haikutoa sasa,kwanini 2030.Japo hata marope angekuwa mweza sasa,kwa staili hii ya katafunia ikifika huko marope ni kibabu,kama kile kibabu kinachoitwa cha taifa kubwa.
 
Back
Top Bottom