Rula ya Mafisadi
JF-Expert Member
- Dec 28, 2024
- 404
- 852
Wananchi wameapa kama Lissu hata shida Uchaguzi ndio utakuwa Mwanzo wa mwisho wa CHADEMA
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huo sio ushindi halali, ushindi halali ccm ingepata chini ya 55%wananchi wapi hao CCM imashinda serikali za mtaa kwa asilimia 99%
Tanzania hakuna upinzani
Sasa sijui wanaondoka kwenda wapi. Waje wajazilizie zifike 100% october 2925wananchi wapi hao CCM imashinda serikali za mtaa kwa asilimia 99%
Tanzania hakuna upinzani