NairobiWalker
JF-Expert Member
- Oct 31, 2012
- 14,267
- 14,890
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Waooh!
It's good that you have declaired the war!.
Tutakuja na tutavua kwa id bt nyie kwetu mpaka mpate ruhusa maalumu ya kimataifa ndio mfke kwetu . Hatuwarembei coz tunawajuaDeclared what war, you people have ocean, rivers, lakes all over but you can't utilize those resources well. Anyway our president allowed free movement, you only need to come in with your IDs but but creep into us.
Tutakuja na tutavua kwa id bt nyie kwetu mpaka mpate ruhusa maalumu ya kimataifa ndio mfke kwetu . Hatuwarembei coz tunawajua
Tutakuja na tutavua kwa id bt nyie kwetu mpaka mpate ruhusa maalumu ya kimataifa ndio mfke kwetu . Hatuwarembei coz tunawajua
Acha samaki wavuliwe. Wakimaliza kuvua ndo tunawashika wavuvi na kifaa chao afu samaki wao tunawataifisha.Masikini ndugu zetu. Hawa Wadigo na Wasegeju hii bahari na samaki ni sawa na Mmasai na ng'ombe zake. Hawajui upeo wa mpaka na pale mpakani upande wa Kenya kuna samaki wengi sana.
Aisee. Kweli mkoloni kaleta shida, ila ndugu zao wadigo wa Kenya watawasaidiaAcha samaki wavuliwe. Wakimaliza kuvua ndo tunawashika wavuvi na kifaa chao afu samaki wao tunawataifisha.