23 Tanzanian fishermen arrested for illegally fishing in Kenyan waters.

Wakitaka waachiwe wadhibitishe kwa kadi za chama kwamba wao ni wafuasi wa CHADEMA. Hapo hata mbuzi wa kukaribisha mwaka mpya watachinjiwa. Hehe. Ingekuwa wakenya tunafanya upuuzi kama huu mnaofanya watz ungeona povu hapa. Kwa wingi.
 
Waooh!
It's good that you have declaired the war!.

Declared what war, you people have ocean, rivers, lakes all over but you can't utilize those resources well. Anyway our president allowed free movement, you only need to come in with your IDs but but creep into us.
 
Declared what war, you people have ocean, rivers, lakes all over but you can't utilize those resources well. Anyway our president allowed free movement, you only need to come in with your IDs but but creep into us.
Tutakuja na tutavua kwa id bt nyie kwetu mpaka mpate ruhusa maalumu ya kimataifa ndio mfke kwetu . Hatuwarembei coz tunawajua
 
Tutakuja na tutavua kwa id bt nyie kwetu mpaka mpate ruhusa maalumu ya kimataifa ndio mfke kwetu . Hatuwarembei coz tunawajua

Arrest them all.... including all the beggars that are filling our towns and cities
 
Tutakuja na tutavua kwa id bt nyie kwetu mpaka mpate ruhusa maalumu ya kimataifa ndio mfke kwetu . Hatuwarembei coz tunawajua

Hamna sehemu tumezungumza ujio wetu kwenu, kila nchi ina sheria zake hivyo muwache kukurupuka. Hebu ona ndugu zenu hawa
 
Masikini ndugu zetu. Hawa Wadigo na Wasegeju hii bahari na samaki ni sawa na Mmasai na ng'ombe zake. Hawajui upeo wa mpaka na pale mpakani upande wa Kenya kuna samaki wengi sana.
 
Masikini ndugu zetu. Hawa Wadigo na Wasegeju hii bahari na samaki ni sawa na Mmasai na ng'ombe zake. Hawajui upeo wa mpaka na pale mpakani upande wa Kenya kuna samaki wengi sana.
Acha samaki wavuliwe. Wakimaliza kuvua ndo tunawashika wavuvi na kifaa chao afu samaki wao tunawataifisha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…