uyu mzee anaoa kila siku,na anaachwa kila siku lakin ajifunz na makosa,umaarufu na pesa ndio zinafanya hivi,muda si mrefu ataachwa tena,uwa nashangaa akipiga picha na mabint ambao wako uchi kabisa,tena wanatokea kwenye vipind vyake na magazine,uyu mzee awezi kutulia