nimesoma habari ya kusikitisha kutoka Sauzi kwamba zaidi ya 28% ya wanafunzi wa kike wana HIV, ikilinganishwa na 4% tu wa wavulana. na kwamba hali imefikia hapo kwa sababu ya SUGAR DADDIES.
Ni wazi kwamba Tanzania tunaelekea kwenye shimo hilo kutokana na mfumo wetu wa kijamii na kiuchumi kushabihiana na ule wa sauzi ingawa typo nyuma zaidi kwa ukubwa wa uchumi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.