29 Februari: Tarehe ya ajabu kwa birthday

29 Februari: Tarehe ya ajabu kwa birthday

Kichuguu

Platinum Member
Joined
Oct 11, 2006
Posts
17,048
Reaction score
22,790
Tarahe 29 February hutokea mara moja kila baada ya miaka minne. Sasa basi kama utazaa mtoto siku hiyo, ina maana mtoto huyo atakuwa na birthday celebrations mbili tu kabla ya kuwa teenager, na inaweza kumuathiri kisaokolojia iwapo ataona wenzie wana birthday parties kila mwaka na yeye inabidi asubiri miaka minne.
 
Tarahe 29 February hutokea mara moja kila baada ya miaka minne. Sasa basi kama utazaa mtoto siku hiyo, ina maana mtoto huyo atakuwa na birthday celebrations mbili tu kabla ya kuwa teenager, na inaweza kumuathiri kisaokolojia iwapo ataona wenzie wana birthday parties kila mwaka na yeye inabidi asubiri miaka minne !!

Nina watu wangu wawili wa karibu wamezaliwa February 29
😅😅😅😅
 
First born wangu alizaliwa tar 29, surely ni changamoto sana when it comes to birthday celebration
 
Katika vitu ambavyo nimeshindwa kuvitilia mkazo ni pamoja na birthday yangu...ukiachana na kuandika tarehe ya kuzaliwa kwenye documents mbalimbali sinaga interesting tena na habari zingine za siku yangu ya kuzaliwa.

Sent from my SM-J260F using JamiiForums mobile app
 
Tarahe 29 February hutokea mara moja kila baada ya miaka minne. Sasa basi kama utazaa mtoto siku hiyo, ina maana mtoto huyo atakuwa na birthday celebrations mbili tu kabla ya kuwa teenager, na inaweza kumuathiri kisaokolojia iwapo ataona wenzie wana birthday parties kila mwaka na yeye inabidi asubiri miaka minne.
Birthday inaathiri vipi saikolojia ya mtoto?
 
Katika vitu ambavyo nimeshindwa kuvitilia mkazo ni pamoja na birthday yangu...ukiachana na kuandika tarehe ya kuzaliwa kwenye documents mbalimbali sinaga interesting tena na habari zingine za siku yangu ya kuzaliwa.

Sent from my SM-J260F using JamiiForums mobile app

Mungu akupe watu wa kuikumbuka na kusherekea uwepo wako duniani ukiwa hai
 
Birthday inaathiri vipi saikolojia ya mtoto?
Inawezekana huna mtoto, na kama una mtoto basi ni wale wanaojua kuchezea mavumbi mtaani tu hawajawahi hata kusikia sherehe za birthday
 
Inawezekana huna mtoto, na kama una mtoto basi ni wale wanaojua kuchezea mavumbi mtaani tu hawajawahi hata kusikia sherehe za birthday
Watoto ninao.

Haya turudi kwenye swali langu la msingi
 
Back
Top Bottom