Jemsi
Senior Member
- Mar 22, 2012
- 149
- 19
Habari zenu jf pipo?
Mi nimechaguliwa kujiunga na chuo hiki,nimechukua joining instruction na nimeona structure nzima ya ada,ambayo ni:
-caution money 30,000
-student organisation 10,000
-medical 100,000
-books 200,000
-tution fee 1,100,000
-faculty requirement 100,000
-meal 1,310,000
-accomodation 400,000
na mimi nimepewa mkopo wa milion 2.3 kinachonitatiza ni kwamba wamesema pesa zote za 1st year zilipwe siku ya registration bila hivyo hupokelewi,na ukilipa fedha zaidi haitarudishwa.
1) naombeni mnijuze ni kiasi gani kinachobakia kwenye ada baada ya kutoa mkopo?nisije nikalipa zaidi,
2)je ni kweli pesa zote zitalipwa siku hiyo? Coz ni nyingi ukizitoa kwa pamoja.
3)je mkopo unahusiana na fedha zipi hapo juu?
Nawashukuru kwa ushirikiano wenu.
Mi nimechaguliwa kujiunga na chuo hiki,nimechukua joining instruction na nimeona structure nzima ya ada,ambayo ni:
-caution money 30,000
-student organisation 10,000
-medical 100,000
-books 200,000
-tution fee 1,100,000
-faculty requirement 100,000
-meal 1,310,000
-accomodation 400,000
na mimi nimepewa mkopo wa milion 2.3 kinachonitatiza ni kwamba wamesema pesa zote za 1st year zilipwe siku ya registration bila hivyo hupokelewi,na ukilipa fedha zaidi haitarudishwa.
1) naombeni mnijuze ni kiasi gani kinachobakia kwenye ada baada ya kutoa mkopo?nisije nikalipa zaidi,
2)je ni kweli pesa zote zitalipwa siku hiyo? Coz ni nyingi ukizitoa kwa pamoja.
3)je mkopo unahusiana na fedha zipi hapo juu?
Nawashukuru kwa ushirikiano wenu.