Mwenyewe nimejiona tumbo ntalibana natafuta vile vya kuongeza hips na tutako. Kichwani navaa kofia fulani hivi na hills zangu mbona ntadamshiiwooooooozer, yani nishaanza kujipatia picha ndani ya hicho kiwalo
Sent from my SM-N920C using Tapatalk
hahha sio mkakati bana, wewe fanya tu kutuletea huo mzigo tukadamshi sisi
Sent from my SM-N920C using Tapatalk
Nimmemkiss Li kwa niaba yakoMzigua kasema wewe ni saizi 12....
Yeye ni saizi 14.
Noted in my notebook.
Tukamatwe na wasiojulikana kwa hizi comments za chit chat na MMU? Afu kupokea zawadi haimaanishi kuexpose identity yako kama hujisikii kujiexpose. Take it easyNamna bora ya kudakwa na wasiojulikana kwa uroho wa kupenda pesa wabongo
Mzigua kasema wewe ni saizi 12....
Yeye ni saizi 14.
Noted in my notebook.
Mi nashinda zangu MMU anaenitafuta atakua na nongwa.Tukamatwe na wasiojulikana kwa hizi comments za chit chat na MMU? Afu kupokea zawadi haimaanishi kuexpose identity yako kama hujisikii kujiexpose. Take it easy
HahahahahaaaShukran jazilan.
Aiskutoboe tu macho kabla hujaziona zawadi.
hahaha kigodoro tu kisije kikakushuka upande mmoja kwa watuMwenyewe nimejiona tumbo ntalibana natafuta vile vya kuongeza hips na tutako. Kichwani navaa kofia fulani hivi na hills zangu mbona ntadamshii
Sent using Jamii Forums mobile app
Tukamatwe na wasiojulikana kwa hizi comments za chit chat na MMU? Afu kupokea zawadi haimaanishi kuexpose identity yako kama hujisikii kujiexpose. So take it easy
Sent from my SM-N920C using Tapatalk
Zawadi unaipataje kwa drone au Bluetooth? Au nyumbani kwa maxence melloTukamatwe na wasiojulikana kwa hizi comments za chit chat na MMU? Afu kupokea zawadi haimaanishi kuexpose identity yako kama hujisikii kujiexpose. Take it easy
Ntaomba na elimu ya kukilinda kisionekanehahaha kigodoro tu kisije kikakushuka upande mmoja kwa watu
Watu wako uptight sana.
Hakuna anayepanga kupindua serikali hapa au kupanga kufanya uhalifu.
This a positive, feel-good thread.
Watu wasiojulikana should get a life worth living, at least for once.
hahhaa labda comments zetu zinataka kupindua ndoa nchini mweeh
Hahahahahahaaa..Hii thread naipa muda, upepo wake upite na mimi nifanye mashindano yangu.
Imenivutia.
Nyumbani kwangu na sijang'atwa hata na siafu let alone kutafutwa na wasiojulikana. Nyie wenzetu mnaotafutwa msiwe waroho wa zawadi kama sisiZawadi unaipataje kwa drone au Bluetooth? Au nyumbani kwa maxence mello
Wanawake mnapenda dezo fanyeni kaziNyumbani kwangu na sijang'atwa hata na siafu let alone kutafutwa na wasiojulikana. Nyie wenzetu mnaotafutwa na serikali msiwe waroho wa zawadi kama sisi
Wanawake mnapenda dezo fanyeni kazi
Unafikiri kumshawishi mwanaume wa kiafrika atoe hela sio kazi?Wanawake mnapenda dezo fanyeni kazi