Kuhusu gharama kuanzia 300,000 unaweza kupata 3D printer ila shida ni reliabilty kwa hizi cheapo printers.
Ila wengi waliongia kwenye 3D printing wameanza na brand maarufu inaitwa Creality wana series za printer tofauti tofauti na bei hutofautiana pia kulingana na features, ila the most popular ones ni ender 3, ender 3v2 kwa yeyote anayeanza 3D printing ningemshauri aanze na hizi kwasababu kuna vingi vya kujifunza na community support ni kubwa aina hizi mbili za printer, bei zake nadhani kwasasa ni kwenye 175USD.