3ds max and lightwave

3ds max and lightwave

donlucchese

JF-Expert Member
Joined
Mar 23, 2011
Posts
17,128
Reaction score
21,885
Jamani nilikua naomba msaada wa basic tutorials wa hizo mambo juu. Na je,nchini kwetu kama kuna wataalam wa hizi softwea mbona hamna application kama kwenye movies na games programming? Maana mimi najifunza just for fun japo wenze2 they r making alot of money out of ths issue
 
Kama ni kujifunza, anza na blender 3D. Basics zote ni sawa, na features za blender ndizo hizo hizo in those commercial applications.
Baada ya kujifunza 3D space terminologies basi nakushauri uchukue Cinema 4D, ambayo ndiyo top dog in the commercial arena. google for Cinema4D tutorials, zipo nyingi tu.
 
  • Thanks
Reactions: 3D.
Mwana 3D software kwa Tanzania zinatumika katika building construction zaid (Auto CAD) ingawa baadhi yetu tunajaribu kuzitia katika film kama behind the scene ya movie "The Crazy" ambayo nimetengeneza kama practice yangu juu ya 3D technology. Kwa upande wa tutorials mbona 3D max 5 inakuja na complete tutorials au tumia Blender 3D kama alivyo shauri jamaa hapo juu.

Behind the scene hiyo ipo YouTube - hermitscorp
NA
Taarifa kuhusu movie kamili ipo Hermitscorp Laboratory
 
Jamani nilikua naomba msaada wa basic tutorials wa hizo mambo juu. Na je,nchini kwetu kama kuna wataalam wa hizi softwea mbona hamna application kama kwenye movies na games programming? Maana mimi najifunza just for fun japo wenze2 they r making alot of money out of ths issue

Kama ni kujifunza, anza na blender 3D. Basics zote ni sawa, na features za blender ndizo hizo hizo in those commercial applications.
Baada ya kujifunza 3D space terminologies basi nakushauri uchukue Cinema 4D, ambayo ndiyo top dog in the commercial arena. google for Cinema4D tutorials, zipo nyingi tu.

Mwana 3D software kwa Tanzania zinatumika katika building construction zaid (Auto CAD) ingawa baadhi yetu tunajaribu kuzitia katika film kama behind the scene ya movie "The Crazy" ambayo nimetengeneza kama practice yangu juu ya 3D technology. Kwa upande wa tutorials mbona 3D max 5 inakuja na complete tutorials au tumia Blender 3D kama alivyo shauri jamaa hapo juu.

Behind the scene hiyo ipo YouTube - hermitscorp
NA
Taarifa kuhusu movie kamili ipo Hermitscorp Laboratory

Kwa sisi wenye interest na 3D designing njia mojawapo itakayotusaidia ni ushurikiano, ingawa sijui ni kwa namna gani kutokana na tofauti za kijiografia, lakini kwa mfano tunaweza kufanya mpango sisi ambao tuko tz tukafanya ka ushirikiano fulani, kwa mfano tukawa tunakutana mara mojamoja tukiwa na Laptop zetu, tukabadilishana software, mawazo nk, hii ni kutokana na kwamba hapa kwetu sidhani kama kuna shule za ukweli, wengi wetu tunajifunza out of passion na interest, kwa mpango huo sisi tutakuwa walimu na wanafunzi at the same time.

Niliwasiliana na mwana jf mwenzetu 3D. akasema tatizo la kujifunza bila mwalimu ni kwamba muda mwingi unatumika kuapat solution ya kitu ambacho mwalimu ange solve within a fraction of minutes. kwa hiyo tukifundishna wenyewe inaweza kusaidia kidogo.

Tukijitahidi watoto wetu wataacha kuangalia Tom & Jerry na wataangalia katuni za kiswahili za Sungura Mjanja, Juma na Roza, na pia tutatengeneza katuni zenye maudhui ya kwetu hata kama zitaongea kiingereza. Pia tutakuwa na satisfaction kwmba tume achieve goals zetu asikwambie mtu graphics ina raha yake bwana.
Good-luck all
 
Jamani nilikua naomba msaada wa basic tutorials wa hizo mambo juu. Na je,nchini kwetu kama kuna wataalam wa hizi softwea mbona hamna application kama kwenye movies na games programming? Maana mimi najifunza just for fun japo wenze2 they r making alot of money out of ths issue

Kama ni kujifunza, anza na blender 3D. Basics zote ni sawa, na features za blender ndizo hizo hizo in those commercial applications.
Baada ya kujifunza 3D space terminologies basi nakushauri uchukue Cinema 4D, ambayo ndiyo top dog in the commercial arena. google for Cinema4D tutorials, zipo nyingi tu.

Mwana 3D software kwa Tanzania zinatumika katika building construction zaid (Auto CAD) ingawa baadhi yetu tunajaribu kuzitia katika film kama behind the scene ya movie "The Crazy" ambayo nimetengeneza kama practice yangu juu ya 3D technology. Kwa upande wa tutorials mbona 3D max 5 inakuja na complete tutorials au tumia Blender 3D kama alivyo shauri jamaa hapo juu.

Behind the scene hiyo ipo YouTube - hermitscorp
NA
Taarifa kuhusu movie kamili ipo Hermitscorp Laboratory

Kwa sisi wenye interest na 3D designing njia mojawapo itakayotusaidia ni ushurikiano, ingawa sijui ni kwa namna gani kutokana na tofauti za kijiografia, lakini kwa mfano tunaweza kufanya mpango sisi ambao tuko tz tukafanya ka ushirikiano fulani, kwa mfano tukawa tunakutana mara mojamoja tukiwa na Laptop zetu, tukabadilishana software, mawazo nk, hii ni kutokana na kwamba hapa kwetu sidhani kama kuna shule za ukweli, wengi wetu tunajifunza out of passion na interest, kwa mpango huo sisi tutakuwa walimu na wanafunzi at the same time.

Niliwasiliana na mwana jf mwenzetu 3D. akasema tatizo la kujifunza bila mwalimu ni kwamba muda mwingi unatumika kuapat solution ya kitu ambacho mwalimu ange solve within a fraction of minutes. kwa hiyo tukifundishna wenyewe inaweza kusaidia kidogo.

Tukijitahidi watoto wetu wataacha kuangalia Tom & Jerry na wataangalia katuni za kiswahili za Sungura Mjanja, Juma na Roza, na pia tutatengeneza katuni zenye maudhui ya kwetu hata kama zitaongea kiingereza. Pia tutakuwa na satisfaction kwmba tume achieve goals zetu asikwambie mtu graphics ina raha yake bwana.
Good-luck all
 
Mwana 3D software kwa Tanzania zinatumika katika building construction zaid (Auto CAD) ingawa baadhi yetu tunajaribu kuzitia katika film kama behind the scene ya movie "The Crazy" ambayo nimetengeneza kama practice yangu juu ya 3D technology. Kwa upande wa tutorials mbona 3D max 5 inakuja na complete tutorials au tumia Blender 3D kama alivyo shauri jamaa hapo juu.

Behind the scene hiyo ipo YouTube - hermitscorp
NA
Taarifa kuhusu movie kamili ipo Hermitscorp Laboratory

asante mkuu
 
Kwa sisi wenye interest na 3D designing njia mojawapo itakayotusaidia ni ushurikiano, ingawa sijui ni kwa namna gani kutokana na tofauti za kijiografia, lakini kwa mfano tunaweza kufanya mpango sisi ambao tuko tz tukafanya ka ushirikiano fulani, kwa mfano tukawa tunakutana mara mojamoja tukiwa na Laptop zetu, tukabadilishana software, mawazo nk, hii ni kutokana na kwamba hapa kwetu sidhani kama kuna shule za ukweli, wengi wetu tunajifunza out of passion na interest, kwa mpango huo sisi tutakuwa walimu na wanafunzi at the same time.

Niliwasiliana na mwana jf mwenzetu 3D. akasema tatizo la kujifunza bila mwalimu ni kwamba muda mwingi unatumika kuapat solution ya kitu ambacho mwalimu ange solve within a fraction of minutes. kwa hiyo tukifundishna wenyewe inaweza kusaidia kidogo.

Tukijitahidi watoto wetu wataacha kuangalia Tom & Jerry na wataangalia katuni za kiswahili za Sungura Mjanja, Juma na Roza, na pia tutatengeneza katuni zenye maudhui ya kwetu hata kama zitaongea kiingereza. Pia tutakuwa na satisfaction kwmba tume achieve goals zetu asikwambie mtu graphics ina raha yake bwana.
Good-luck all

wazo zuri sana mkuu
 
@Lukansola
Umeongea la ukweli mwana me mwenyewe nina kui kubwa ya kutengeneza full featured cartoon movie yenye combination ya 2D character with 3D Background ila nashindwa kutokana sijui wapi nitapata mwenza mbaye tutasaaidiana kufanikisha ilo--ukiangalia web yangu itaaona jinsi nilivyojaribu kufanya hicho kitu---so namkaribisha yoyote kuungana na mimi vyovyote kama atakuwa tayari. My web is under sign tab.
 
Mwana 3D software kwa Tanzania zinatumika katika building construction zaid (Auto CAD) ingawa baadhi yetu tunajaribu kuzitia katika film kama behind the scene ya movie "The Crazy" ambayo nimetengeneza kama practice yangu juu ya 3D technology. Kwa upande wa tutorials mbona 3D max 5 inakuja na complete tutorials au tumia Blender 3D kama alivyo shauri jamaa hapo juu.

Behind the scene hiyo ipo YouTube - hermitscorp
NA
Taarifa kuhusu movie kamili ipo Hermitscorp Laboratory

Kwanza naunga mkono bidii ambazo vijana mnaonesha. Binafsi naisubiri kwa hamu sana filamu hii. Naamini itaongeza kile ambacho kimekuwa kinakosekana katika filamu zetu.

Labda kitu ambacho siku za baadaye tunahitaji kuangalia ni mchango wa wazee katika filamu zetu. Sehemu kubwa ya filamu zetu huwa zina mambo ya vijana tu na kuna rika la watu wa 35+ yrs limeachwa katika kushiriki na hata stori zenyewe. Kwa filamu ya "The Crazy" nadhani itakuwa matata sana, kikubwa ni kuzuia kuwepo makosa madogo madogo ambayo yanaweza yakatia dosari, mfano nimeona katika behind the scene mmeandika "Mark-up" ambapo nadhani pangekuwa "Makeup." Vinginevyo naunga mkono hoja!!

Viva guys!!!


Kama ni kujifunza, anza na blender 3D. Basics zote ni sawa, na features za blender ndizo hizo hizo in those commercial applications.
Baada ya kujifunza 3D space terminologies basi nakushauri uchukue Cinema 4D, ambayo ndiyo top dog in the commercial arena. google for Cinema4D tutorials, zipo nyingi tu.

KK umepotea, au bbado uko "Loliondo?". Mchakato wa Blender umefikia wapi? Maana nadhani unawakilisha vizuri sana "Open Source Projects"!

Siku njema.

NB. Nafikiri baada ya 2 yrs naweza kuwa katika nafasi ya kufanya filamu ya CGI. Nitajaribu, Inshallah!
 
Thanks 3D, for correction, si unajua tena kidhungu kinatupa tabu 😉
Kuhusu kuwashirikisha 35+yrs ni kweli,ila kwa "The Crazy" wamo na pia cover inaonesha vijana 2 kutokana na dhima wenyewe

happy day..........
 
Thanks 3D, for correction, si unajua tena kidhungu kinatupa tabu 😉
Kuhusu kuwashirikisha 35+yrs ni kweli,ila kwa "The Crazy" wamo na pia cover inaonesha vijana 2 kutokana na dhima wenyewe

happy day..........

Tuko pamoja.
 
wazo zuri sana mkuu

@Lukansola
Umeongea la ukweli mwana me mwenyewe nina kui kubwa ya kutengeneza full featured cartoon movie yenye combination ya 2D character with 3D Background ila nashindwa kutokana sijui wapi nitapata mwenza mbaye tutasaaidiana kufanikisha ilo--ukiangalia web yangu itaaona jinsi nilivyojaribu kufanya hicho kitu---so namkaribisha yoyote kuungana na mimi vyovyote kama atakuwa tayari. My web is under sign tab.

Nawashukuruni sana, mazd acha nikatembelee hiyo web yako.

Tuendeleeni kuwasiliana, mdogomdogo tutafika.
 
Nadhani ideas zilizotolewa hapa ni sawa kabisa, kwani since hii area ya IT sana sana mtu hufanya kama personal interest na hobby (ndio, baadae inaweza kuwa ndio mshiko wako haswa) basi, sharing knowledge huwa ni kitu cha urahisi sana. Kutokana na location za watu, inabidi kutumia tu mtandao kama communication channels ikiwezekana na kwa wale ambao wako bongo basi, face-to-face meetings pia zinawezekana. Mimi ningependa tu kuchangia hili: Learn from other peoples experience. Mifano mingi ipo kwenye mtandao inayoonyesha jinsi ya kutumia 3D assets in film, adverts nyingi tu zimetengenezwa totally in 3D, na tool ya ziada ambayo ni lazma kuielewa itakuwa ni After Effects.
Set learning plans, say, recreate notable adverts fully in 3D


3D. Mwenzangu, bado nipo, sijaikimbia fani lakini progress bado ni ndogo sana.

Labda kuanza na list ya resources on the web categorised by application

Cinema 4D
Intro to Cinema 4D: Tutorial | greyscalegorilla/blog

Brief description. Cinema 4D and After effects tutorials.
 
@All
Mwenye kazi yake yoyote inayohusu 2D/3D na software (Mobile or PC Software) kiujumla namkaribisha kuungana na mimi kuendeleza na kutangaza kazi hiyo kwa sababu:
1. Mimi ni NOKIA Qt ambassador-so nini special status katika NOKIA ovi store na Nokia Corporation yenyewe.
2. Ni mzalendo na mjali kazi ya mwenzangu
3. Web yangu inajulika kwa kiasi flani

4.Napenda kushare idea na vijana wenzangu

(sijali kabila wala dini )
 
@All
Mwenye kazi yake yoyote inayohusu 2D/3D na software (Mobile or PC Software) kiujumla namkaribisha kuungana na mimi kuendeleza na kutangaza kazi hiyo kwa sababu:
1. Mimi ni NOKIA Qt ambassador-so nini special status katika NOKIA ovi store na Nokia Corporation yenyewe.
2. Ni mzalendo na mjali kazi ya mwenzangu
3. Web yangu inajulika kwa kiasi flani

4.Napenda kushare idea na vijana wenzangu

(sijali kabila wala dini )

Asante mimi nitakutafuta mkubwa.
 
@All
Mwenye kazi yake yoyote inayohusu 2D/3D na software (Mobile or PC Software) kiujumla namkaribisha kuungana na mimi kuendeleza na kutangaza kazi hiyo kwa sababu:
1. Mimi ni NOKIA Qt ambassador-so nini special status katika NOKIA ovi store na Nokia Corporation yenyewe.
2. Ni mzalendo na mjali kazi ya mwenzangu
3. Web yangu inajulika kwa kiasi flani

4.Napenda kushare idea na vijana wenzangu

(sijali kabila wala dini )

Angalia usiwe ageist. Teh teh teh . its a joke but nadhani ulimaanisha unapenda kushare idea na watu wote. bila kujali dini , kabila wala umri.

Hizi idea nzuri sana inabidi tufaute jinsi na hao "wasio vijana wenzetu" wazielewe maana wengi wao ndio decision makers. kazi tunayo tusikatae tamaa na tusiwabague
 
Back
Top Bottom