Teh Teh....eti visingeliNa hapa akihaidiwa na mtu mzima mwenzaje umri mmoja kama wataanza kumshonea suti na kaunda kutoka kwa sheria ngowi manake anadhalilisha wazee wenzake kwa kuvaa nguo kama mcheza visingeli wa tandale au sijui bado anajikna na yeye ni diamond hahaView attachment 326675
Nilijua tuu lazima ungejitokeza kwenye hii Thread ukicheka.Hahahahahaaa MSAGA SUMU once again katika ubora wako uliotukuka.
Uwepo wako wewe na kaka yangu kipenzi popoma GENTAMYCINE humu JF kunaniongezea siku za kuishi.
Kuna tofauti kati ya shati na TurubaiNa hapa akihaidiwa na mtu mzima mwenzaje umri mmoja kama wataanza kumshonea suti na kaunda kutoka kwa sheria ngowi manake anadhalilisha wazee wenzake kwa kuvaa nguo kama mcheza visingeli wa tandale au sijui bado anajikna na yeye ni diamond hahaView attachment 326675
Benny ndo alienda bro..Hivi Kaboom si ulipata mwaliko wewe na Evelyn Salt?
Leteni mrejesho kama anayoyasema MSAGA SUMU ni kweli.
... Eti kama ataenda Sokoto Nigeria sawa ila Dubai ajitegemee nauli... Hahahaaa, my ribs!
Hakuvaa mpensi wake kwenye sherehe?;picha tafwadhal
... Eti kama ataenda Sokoto Nigeria sawa ila Dubai ajitegemee nauli... Hahahaaa, my ribs!
Nimecheka..mungu huyu!
Hahahahahaaa MSAGA SUMU once again katika ubora wako uliotukuka.
Uwepo wako wewe na kaka yangu kipenzi popoma GENTAMYCINE humu JF kunaniongezea siku za kuishi.
jamani mbona sikuwaona ndugu zangu kwenye super anniversary,Le mbebezz super mtindizz wote wakali walikuwepo,u know me I luv bongo,masupa bilionea pia walikuwepo yaani ilikuwa Le kufwa kwa Nyani,Akili kubwa wote walikuwepo hata Le mburulazz-Im humble u Know-Le Mutuzz nationUmekiona hicho kipande cha Nakuru?
Yeah..Ngoja aje kutupa mrejesho..Congcong wang nae alikwepo..Sijui kama alifanikiwa kupata namba
Huyo ndo aliyefanya Benny aende.Hadi huyu dogo alikuwepo! Kweli akili kubwaz.
oooh,upande wa maCEO wa swahili fm,teh teh etTeh teh..Nilikuwa upande wa kina Davis Mosha kule
hadi butogwa alikuwa ndani,Hadi huyu dogo alikuwepo! Kweli akili kubwaz.