Gray Ze Don
Member
- Aug 18, 2013
- 36
- 3
ukienda chuo husika watakuregisterHiv waugwana,kama kwenye account yako umechaguliwa, na kwenye batches za chuo kile jina lako halipo na watu wameanza kuripoti chuoni, hapo inakuwaje, msaada tafadhali
tcu wameshatoa 3rd round selection.
Angalia kupitia vyuo husika.
Mfano:Jordan (Juco) wameyaupdate tar 12 Sept