3rd round tcu selection

Gray Ze Don

Member
Joined
Aug 18, 2013
Posts
36
Reaction score
3
TCU wametoa majina ya waliochaguliwa awamu ya 3.wameyatoa kwenye vyuo husika...
Eg:Jordan (Juco) wameyaupdate 12.sept
 
ndg hyo 3rd selection ni officially cjajua kw ww una maanisha ipi nt officially

una uhakika kuwa vyuo vyote vime update hayo majina kama unavyodai?
Nafikiri huwa Tcu mwisho wa kaz nzima huwa wanatoa takwimu za ujumla..!
Ila pia kama vipi litazame jina lako ktk ile list of selected applicants 2013/14 kama jina litakuwepo mule katika database?
 
Transfer wametoa? Afu mbona wengine waliofanya 3rd round application hawajaona majina yao?
 
Naomben mnisaidie kwa anaejua kuhusu ile st Joseph college of agricultural sciences and technology ya songea,kama wmetoa majina 3rd round applicants..au mwenye kujua website yao naomba anitumie..
 
Kweli web za St.joseph ni too blacket tofauti na Sua,udsm n.k cijui tatizo nini halafu et It wako njema zaidi!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…