4 day's left Kitambulisho cha Taifa

4 day's left Kitambulisho cha Taifa

Chibudee

JF-Expert Member
Joined
Dec 28, 2016
Posts
1,775
Reaction score
2,404
Nimepambana Weeeh Nimesimama sana tu lakini naona mambo hayaendi na siku Ndio hizo zinakwea

Jamani Tusishangaane KUANZAI TRH 20
Tukifanya miamala majina yakaja ya kike wakati mtu na wa kiume
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hili zoezi wasipo tizama kwakina watakuwa wanatia maji gunia


AlamSikki..
255712285171_status_d693b8d041cc420cbc8cee8ee20d32ca.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom