Chibudee
JF-Expert Member
- Dec 28, 2016
- 1,775
- 2,404
Nimepambana Weeeh Nimesimama sana tu lakini naona mambo hayaendi na siku Ndio hizo zinakwea
Jamani Tusishangaane KUANZAI TRH 20
Tukifanya miamala majina yakaja ya kike wakati mtu na wa kiume
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hili zoezi wasipo tizama kwakina watakuwa wanatia maji gunia
AlamSikki..
Sent using Jamii Forums mobile app
Jamani Tusishangaane KUANZAI TRH 20
Tukifanya miamala majina yakaja ya kike wakati mtu na wa kiume
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hili zoezi wasipo tizama kwakina watakuwa wanatia maji gunia
AlamSikki..
Sent using Jamii Forums mobile app