Nimepambana Weeeh Nimesimama sana tu lakini naona mambo hayaendi na siku Ndio hizo zinakwea
Jamani Tusishangaane KUANZAI TRH 20
Tukifanya miamala majina yakaja ya kike wakati mtu na wa kiume
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hili zoezi wasipo tizama kwakina watakuwa wanatia maji gunia