4 wheel drive ya kukodi kwa siku 10 pamoja na dereva

4 wheel drive ya kukodi kwa siku 10 pamoja na dereva

theprogrammer C++

Senior Member
Joined
May 17, 2013
Posts
106
Reaction score
226

Wazee naomba msaada nahitaji gari nzuri 4 wheel drive tunataka kukodi


Tarehe 17 mwezi huu kutoka Dar mpaka sumbawanga na kurudi. Safari itakua ina vituo mbalimbali kama Morogoro, Mikumi, Mbeya pamoja na sumbawanga. Tutakua mimi na Mgeni wangu.

Dereva awe mzoefu na proffesional. Mwenye nayo ni pm tuongee pamoja na bei.
 
Maelezo hayajajitosheleza..

Mtu atakuletea Suzuki hapa ukaanza kulia.

1-Taja CC ngapi unataka..
2-Capacity ya kubeba watu wangapi..
3-Je iwe hardtop au hizi pickup

Ije ikiwa na amenities zipi..

Driver unataka wa aina gani Mzee, Kijana ? Sometimes mpk Jinsia..

Je, utatoa nini apart from posho ya dereva je utalipia malazi? Chakula etc?

Just an overview.. nashauri pia baadae unaandaa checklist ya mambo unayohitaji inakuw easy kupata kile kilicho bora..
 

Kwenye huo uwanja Sina la kusema kiongozi. Hata hivyo naona kama tangazo limepwaya Kwa kukosa baadhi ya taarifa muhimu.

Nashauri wajaribu kwenye makampuni yanayokodisha magari.

Nimejikuta nataka kuelewa zaidi kuhusu tofauti ya 4X4, AWD na 4WD

 
Kwenye huo uwanja Sina la kusema kiongozi. Hata hivyo naona kama tangazo limepwaya Kwa kukosa baadhi ya taarifa muhimu.

Nashauri wajaribu kwenye makampuni yanayokodisha magari.

Nimejikuta nataka kuelewa zaidi kuhusu tofauti ya 4X4, AWD na 4WD

Engineer Mad Max atupe mchanganuo
 

Attachments

  • 093594B3-46DC-4F51-837E-EC1C1770EBA7.jpeg
    093594B3-46DC-4F51-837E-EC1C1770EBA7.jpeg
    856.1 KB · Views: 3
Back
Top Bottom