Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,762
- 59,204
Who quoted who first?Unamuuliza mtoa post lkn una quote kwangu?....naona unataka kukwepa issue ya urafiki kati ya mke wa mtu na mwanaume mwingine
Are u still quotin me?!Who quoted who first?
Eeee...halafu wewe tangu upigwe 'bao' na tecno una maneno mengi sana.Ww umeolewa wakat unasoma?!
Hamna urafiki wa mwanaume na mwanamke tena mke wa mtu,unamuaga mumeo unaenda kwa rafik yako wa kiume kumsalimia?!
Tangulini???Hahahaha...tunafika mkuu
Kwa umri wa mzee Mugabe ni girl.Mmh mimi sijui kingereza ndio. Ila naomba kuuliza, Hivi 40+ ni girl naye?
Kama kweli vile!Kwani wanawake wanafikaga miaka 40???
Mi nnavyojua mwisho wanaishia miaka 27, kisha miaka inaanza upya 22
Unapenda game za mchana?!Eeee...halafu wewe tangu upigwe 'bao' na tecno una maneno mengi sana.
Nakumiss na lile game lako la snake ll.
Eee,na za asubuhi pia,zile za kuchangamsha organ za mwiliUnapenda game za mchana?!
Ni mdadaMmh mimi sijui kingereza ndio. Ila naomba kuuliza, Hivi 40+ ni girl naye?
[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13]Kwani wewe huna marafiki wa kike. Au unasoma shule za boys
urafiki tuAkishakuwa rafiki kinachofuata unamfanya nini?