TV4Sale 40" PHILIPS LED TV BEI NAFUU SANA

mwanaMtata

JF-Expert Member
Joined
Oct 18, 2014
Posts
2,393
Reaction score
1,433
Tv hii imetumika chini ya uangalifu mkubwa sana.
Iko katika hali nzuri kwa bei nafuu sana
0786371108















Gharama ya kuuzia naanza 660,000/= ila mapungufu kidogo tunaongea.
 
Tv hii imetumika chini ya uangalifu mkubwa sana.
Iko katika hali nzuri kwa bei nafuu sana
0786371108















Gharama ya kuuzia naanza 660,000/= ila mapungufu kidogo tunaongea.
Hapo umesema mapungufu kidogo labda mimi sikuelewa je ni TV inamapungufu kidogo au umemaanisha hiyo bei inapungua kidogo?
 
TCL inchi 43 laki 4 na nusu mpyaaa na ukitaka unaletewa mpaka nyumbani. Hiyo ya kwako utapata shida sana kuuza otherwise umpate mtu asiyejua kabisaa bei ya hivi vitu..!!
 
TCL inchi 43 laki 4 na nusu mpyaaa na ukitaka unaletewa mpaka nyumbani. Hiyo ya kwako utapata shida sana kuuza otherwise umpate mtu asiyejua kabisaa bei ya hivi vitu..!!
Vipi kuhusu ubora??... maana nyingine huonekana nzuri na bei ndogo lakini hazidumu.
 
sasa TCL utafananisha na PHILLIPS?
TCL inchi 43 laki 4 na nusu mpyaaa na ukitaka unaletewa mpaka nyumbani. Hiyo ya kwako utapata shida sana kuuza otherwise umpate mtu asiyejua kabisaa bei ya hivi vitu..!!
 
TCL inchi 43 laki 4 na nusu mpyaaa na ukitaka unaletewa mpaka nyumbani. Hiyo ya kwako utapata shida sana kuuza otherwise umpate mtu asiyejua kabisaa bei ya hivi vitu..!!
Okay ni wazo lako pia siwezi kataa kwa maana umelitoa kulingana na upeo wako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…