Anapatikana kwenye nyimbo ya HARMORAPA NUNDU
Harmorapa ni kiboko ya mabishoo anatoma mtwaraHARMORAPA ni nani wa wapi?
Harmorapa ni kiboko ya mabishoo anatoma mtwara
Naona mkuu wewe umeadvance. Acha washamba tuzidi kuuziana dairly na kujipatia kipato.Utafika muda nyie wenye electronics mitumba mtaelewa tu. Hiyo dunia ishapitwa na wakati
Hebu ni-pm kuhusu hiyo tcl ya sifa na bei hiyo bibi yangu naye achekeleeTCL inchi 43 laki 4 na nusu mpyaaa na ukitaka unaletewa mpaka nyumbani. Hiyo ya kwako utapata shida sana kuuza otherwise umpate mtu asiyejua kabisaa bei ya hivi vitu..!!