40% ya wateja wa Shirika la Ndege ( ATCL) ni wakazi wa Jiji la Mwanza

Umbali wa mwanza dar ndio sababu ukanda unaingiaje hapa .watu wanatumia ndege kupunguzaa uchovu na kuokoa muda sasa una pesa kwaniini upande basi vitu vingine in vya kufikiri na uteuzi wa watu wa kanda hiyo ni mwingi wengi huwa wanaelekea kwao hii no lazima ifike 40%

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hujui usemalo pole sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hawa watu wa kuburumiwa tu. Buashara ya mabasi ni ya kimaskini sana

Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe ndio maskini wa mwisho, kampuni ina miaka 10 unasema biashara ya kimaskini? Unajua bei ya basi moja la Marcopolo wew mnywa ulanzi?
Kiufupi sekta ya usafiri tumeishika na tunalipa Kodi kubwa tunawezesha nchi kupata mapato wewe biashara unayoweza Ni kuuza ulanzi tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Zile za Precision unaziita ndege?!

Zile za kuendea mbugani zilizoshindwa kubeba msiba wa Mengi kwa mara moja ikabidi zitoke zote na waombolezaji hawakuwa zaidi ya 100?

Bora hata ile ndege ya Masha kuliko huto twa Shirima bwashee!
Unahitaji kupimwa akili kabisa, precision air sio ndege? Kampuni ina ndege karibu kumi zinaenda hadi comoros na sycheles unasema sio ndege?
Masha Ana ndege gani? Kale kamoja ka fastjet? Hahaha kanapiga route gani? Hahaha wacha niendelee kunywa hainken yangu hapa machame lyamungo maana unachekesha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bwashee ATCL wanahangaika na hiyo ndege moja ya Lau Masha wala hawana habari na hicho kikampuni chenye miruko ya kubeba barua na parcel kama mabasi ya Champion ya Dodoma.

Hahahaa......zile ni videge vya mbugani au kunyunyizia dawa mashambani sema meku Shirima alijiongeza tu na kuanza kubeba wachagga!
 
Hahaha ndege za kunyunyuzia dawa zibebe abiria hadi comoros? Précision air inatua bukoba,mwanza,kia,Arusha,na Zanzibar

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahaha ndege za kunyunyuzia dawa zibebe abiria hadi comoros? Précision air inatua bukoba,mwanza,kia,Arusha,na Zanzibar

Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahaaa........ Sasa hivyo vi fokker vya abiria 26 kama Coaster ndio unaita ndege bwashee?!

Hizo zingekuwa ni ndege ungeona ATCL wanavyozitolea mimacho kama Fastjet ya Lau Masha abiria zaidi ya 100!
 
fazili,
Hamjuamuelewa! Alisema katika route za ATCL hapa nchini 40% ya wateja wake wanatumia route ya Mwanza Airport. Na ni kweli kama ATCL wanaroute tatu kila siku kwenda na kurudi Mwanza na zinajaa na anasema wanataka waongeze route moja zaidi.
Kwenda Mwanza kutoka wapi?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…