kimsboy
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 9,846
- 20,319
Halotel hawana 4G
Narudia hawana 4G
Ninaishi katikati ya mji kabisa mita kadhaa tu kutoka minara yao ilipo lakini cha ajabu speed yake ni ya kobe yaani hata kb haifiki inatembea 5 bps yaan byte yaani hata kb hawafiki.
Ukiona imesoma hata 2.2k/s hapo ndo imejitahidi.
Nilidhani ni nyumbani nimezunguka maeneo mengi ya Dar kwenye hekaheka zangu speed ni hiyo hiyo tu ya kobe yaani wakijitahidi sana ni 20kb per second.
Hawa nao wana 4g? 4g ya nchi gani hii?halotel ni matapeli wa karne hawakuzindua 4g waliudanganya umma kwa maksudi
Ukweli halotel hawana 4g wala nini ni uwongo na utapeli.
Pia niwaambie namalizia research yangu fulani hivi kuhusu networks hapa tz nisiongee sana kuna mazito aisee kuhusu hii mitandao na ukweli nitaumwaga hapa.
Halotel acheni utapeli hamna cha 4g wala nini oneni mtandao wa hovyo duuuh[emoji1313][emoji1313]
Narudia hawana 4G
Ninaishi katikati ya mji kabisa mita kadhaa tu kutoka minara yao ilipo lakini cha ajabu speed yake ni ya kobe yaani hata kb haifiki inatembea 5 bps yaan byte yaani hata kb hawafiki.
Ukiona imesoma hata 2.2k/s hapo ndo imejitahidi.
Nilidhani ni nyumbani nimezunguka maeneo mengi ya Dar kwenye hekaheka zangu speed ni hiyo hiyo tu ya kobe yaani wakijitahidi sana ni 20kb per second.
Hawa nao wana 4g? 4g ya nchi gani hii?halotel ni matapeli wa karne hawakuzindua 4g waliudanganya umma kwa maksudi
Ukweli halotel hawana 4g wala nini ni uwongo na utapeli.
Pia niwaambie namalizia research yangu fulani hivi kuhusu networks hapa tz nisiongee sana kuna mazito aisee kuhusu hii mitandao na ukweli nitaumwaga hapa.
Halotel acheni utapeli hamna cha 4g wala nini oneni mtandao wa hovyo duuuh[emoji1313][emoji1313]