4th round by tcu!

Bkbwana

Senior Member
Joined
Aug 21, 2013
Posts
104
Reaction score
10
Naomba kujuzwa eti kuna 4th round kwa waco chaguliwa?
 
Jamaaa una wasiwasi sanaa hayo matokeo uliyotutajia yatakuwa ya kwako, ushaur; subir st. John wakitoa majina yao, kama hutokuwepo nenda moja kwa moja tcu watakuambia nn cha kufanyaa! Nimehesabu post(thread) kama nne(4) zote za kwako watu wanakujibu lakin uridhikii, jielewe mkubwaaa! Overrrrrr xxL
 
Subr watakupeleka st john mbona una presha sana ww!Tulia chuo umeshapata.
 
vp hukufanikiwa kuangalia kupitia airtel yatosha??jibu then nitarud

yaaa! Yatosha ilikata stimu kabla hajaona kjarib saa 4 jpil asubuh akaa admission successfully wait final approval. Jamaa akahaha tangu hapo mbka le. Du!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…