Said mayazi
Member
- Sep 24, 2011
- 10
- 1
Waliochaguliwa round ya 4 na TCU kujiunga na vyu o mbali mbali nchini hatima yao kuhusu mikopo itakuwaje?mimi ni mmoja wao na niliambiwa kama sipo kwenye ile orodha ya waliokosea kujaza fomu itabid nisubiri!msaada wana jamvi kama kuna mtu mwenye tatzo kama langu na mwenye uelewa juu ya hili