👏👏👏👏👏Kwa uelewa wangu, gari ndogo za Toyota (Kluger, Rav4, sina uhakika na IST) nyingi hazina Four Wheel Drive (4WD), zina kitu wanaita All Wheel Drive (AWD). Tofuati kubwa kati ya 4WD na 4WD inakuwa engaged na dereva, wakati AWD inawekwa na ECU ya gari.
Sasa kwa mfumo wa Toyota kwa gari ndogo, AWD ni on demand, sio full time. Hizo gari zote ulizotaja hapo ni basically front wheel drive, lakini kama ina option ya AWD, huwa inaingia pale tu ECU inaposense kuwa kuna tairi moja au yote ya mbele yanateleza au yamepoteza traction, hapo ndio diff ya nyuma inapewa taarifa kuengage ili tairi za nyuma zizunguke.
Subaru wao AWD ni full time. Japo pia nguvu inagawanywa tofauti kwa tairi za mbele na za nyuma wakati gari linatembea kwenye barabara nzuri mbele nguvu inakuwa 60% nyuma 40% ili kuokoa mafuta.
Sasa waliotengeneza gari hawajui Nini maana ya 4wd na Awd au[emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122]
Kwa uelewa wangu, gari ndogo za Toyota (Kluger, Rav4, sina uhakika na IST) nyingi hazina Four Wheel Drive (4WD), zina kitu wanaita All Wheel Drive (AWD). Tofuati kubwa kati ya 4WD na 4WD inakuwa engaged na dereva, wakati AWD inawekwa na ECU ya gari.
Sasa kwa mfumo wa Toyota kwa gari ndogo, AWD ni on demand, sio full time. Hizo gari zote ulizotaja hapo ni basically front wheel drive, lakini kama ina option ya AWD, huwa inaingia pale tu ECU inaposense kuwa kuna tairi moja au yote ya mbele yanateleza au yamepoteza traction, hapo ndio diff ya nyuma inapewa taarifa kuengage ili tairi za nyuma zizunguke.
Subaru wao AWD ni full time. Japo pia nguvu inagawanywa tofauti kwa tairi za mbele na za nyuma wakati gari linatembea kwenye barabara nzuri mbele nguvu inakuwa 60% nyuma 40% ili kuokoa mafuta.
Mkuu samahani bado sijakuelewa vizuri apo kwenye utofauti kati ya 4WD na AWD...4WD ni Four Wheel Drv na AWD ni All Wheel Drive sasa kwani Gari si lina Matairi Manne?....bado napata mkanganyiko wa 4WD na AWD ukizingatia Tairi zipo nne kwenye GariKwa uelewa wangu, gari ndogo za Toyota (Kluger, Rav4, sina uhakika na IST) nyingi hazina Four Wheel Drive (4WD), zina kitu wanaita All Wheel Drive (AWD). Tofuati kubwa kati ya 4WD na 4WD inakuwa engaged na dereva, wakati AWD inawekwa na ECU ya gari.
Sasa kwa mfumo wa Toyota kwa gari ndogo, AWD ni on demand, sio full time. Hizo gari zote ulizotaja hapo ni basically front wheel drive, lakini kama ina option ya AWD, huwa inaingia pale tu ECU inaposense kuwa kuna tairi moja au yote ya mbele yanateleza au yamepoteza traction, hapo ndio diff ya nyuma inapewa taarifa kuengage ili tairi za nyuma zizunguke.
Subaru wao AWD ni full time. Japo pia nguvu inagawanywa tofauti kwa tairi za mbele na za nyuma wakati gari linatembea kwenye barabara nzuri mbele nguvu inakuwa 60% nyuma 40% ili kuokoa mafuta.
Kuna 2WD na 4WD...Mkuu samahani bado sijakuelewa vizuri apo kwenye utofauti kati ya 4WD na AWD...4WD ni Four Wheel Drv na AWD ni All Wheel Drive sasa kwani Gari si lina Matairi Manne?....bado napata mkanganyiko wa 4WD na AWD ukizingatia Tairi zipo nne kwenye Gari
Kwa mambio+Stability nina prefer RWD lakini shida ya hizi RWD ni kukwama kwny matope/utelezi hata kidogo tu umeshanasa tayari.HIVI KATI YA GARI INAYOVUTA MBELE" FRONT WHEEL DRIVE", NA INAYOVUTA/KUSUKUMA NYUMA" REAR WHEEL DRIVE" IPI INAFAA KATIKA MATUMIZI YETU DAILY. HUSUSANI KATIKA ROADS ZETU
ngoja nimsaidie mdau hapo juuMkuu samahani bado sijakuelewa vizuri apo kwenye utofauti kati ya 4WD na AWD...4WD ni Four Wheel Drv na AWD ni All Wheel Drive sasa kwani Gari si lina Matairi Manne?....bado napata mkanganyiko wa 4WD na AWD ukizingatia Tairi zipo nne kwenye Gari
HIVI KATI YA GARI INAYOVUTA MBELE" FRONT WHEEL DRIVE", NA INAYOVUTA/KUSUKUMA NYUMA" REAR WHEEL DRIVE" IPI INAFAA KATIKA MATUMIZI YETU DAILY. HUSUSANI KATIKA ROADS ZETU
Mkuu samahani bado sijakuelewa vizuri apo kwenye utofauti kati ya 4WD na AWD...4WD ni Four Wheel Drv na AWD ni All Wheel Drive sasa kwani Gari si lina Matairi Manne?....bado napata mkanganyiko wa 4WD na AWD ukizingatia Tairi zipo nne kwenye Gari
Pamoja saana mkuuWewe ni fundi!Jibu murua kabisa Mkuu
Gari yenye 4WD, kwa kawaida nguvu iko kwenye matairi mawili, hasa ya nyuma. Hiyo 4WD ni dereva ndio anaamua kuiwasha pale kunapokuwa na uhitaji. Na hapo matairi yote manne yanatembea kwa nguvu sawa. Kama kwenye Land Cruisers na magari makubwa kama hayo. Japo na madogo yapo pia. AWD kwa system ya Toyota na kampuni nyingine nyingi, tairi mbili, hasa za mbele ndio zinafanya kazi muda mwingi, ila computer ya gari inauwezo wa kuzungusha matairi yote manne kwa wakati wake bila dereva kufanya lolote, hasa pale computer inapogundua tairi moja au mawili yanazunguka bila kulisukuma gari. Yaani yanaslip kama kwenye tope. Sasa hii ndio ina full time na on demand.Mkuu samahani bado sijakuelewa vizuri apo kwenye utofauti kati ya 4WD na AWD...4WD ni Four Wheel Drv na AWD ni All Wheel Drive sasa kwani Gari si lina Matairi Manne?....bado napata mkanganyiko wa 4WD na AWD ukizingatia Tairi zipo nne kwenye Gari
Nice onengoja nimsaidie mdau hapo juu
kwenye kila nyanja kuna lugha zake..
sasa ukija kwenye magari upande wa drivetrain kuna lugha zifuatazo...
2WD -Front wheel drive/ Rear wheel drive....
AWD- tairi zote nne zinazunguka either full time au kwa ECU kujiseti yenyewe pale penye uhitaji dereva huna mamlaka nayo yenyewe ipo inajipeleka yenyewe... na mgawanyo wa power kwenyw matairi huwa sawa 50/50 au 40/60
4WD (4×4) gari inakuwaga moslty ni REAR WHEEL DRIVE na ukitaka yazunguke yote manne basi dereva itabidi utoe comand by a touch of a button au kwa kutumia gear ya 4X4 mgawanyo power huwa haupo sawa mara zote tairi za nyuma huchukua 80 na za mbele hupata 20.. na siyo recomended for a long run na wala speed hutakiwi kuvuka 60
nahisi ntakuwa nimesaidia kidogo
so hadi hapi utakuwa umeona tofauti ya AWD na 4WD
AWD ipo automatic full time na mgawanyo wa power upo 50/50 au 40/60
4WD hii dereva unaweka mwenyewe kuruhusu matairi ya mbele yavute kutokana na mazingira uliyopo na huruhisiwi kuitumia muda wote utaharibu gari...mara tu unapotoka kwenye eneo tata unatakiwa ui dis-engage
RWD handling yake safi saana. As tairi za mbele kazi yake ni kuongoza gari tu kwenye uelekeo sahihiKwa mambio+Stability nina prefer RWD lakini shida ya hizi RWD ni kukwama kwny matope/utelezi hata kidogo tu umeshanasa tayari.
FWD hua iko poa sana hata kwny matope unaweza kujinasua 'kirahisi' kiasi compared to RWD.
Shukrani kwa maelezo mazuriGari yenye 4WD, kwa kawaida nguvu iko kwenye matairi mawili, hasa ya nyuma. Hiyo 4WD ni dereva ndio anaamua kuiwasha pale kunapokuwa na uhitaji. Na hapo matairi yote manne yanatembea kwa nguvu sawa. Kama kwenye Land Cruisers na magari makubwa kama hayo. Japo na madogo yapo pia. AWD kwa system ya Toyota na kampuni nyingine nyingi, tairi mbili, hasa za mbele ndio zinafanya kazi muda mwingi, ila computer ya gari inauwezo wa kuzungusha matairi yote manne kwa wakati wake bila dereva kufanya lolote, hasa pale computer inapogundua tairi moja au mawili yanazunguka bila kulisukuma gari. Yaani yanaslip kama kwenye tope. Sasa hii ndio ina full time na on demand.
So kwa kifupi, hayo majina 4WD na AWD yametumika ili kutusaidia kuelewa tofauti kati ya hiyo mifumu miwili inayokaribiana saana.