Kuna 2WD na 4WD...
2WD ni tairi 2 tu za mbele ndizo zinavuta gari.. 4WD ni tairi zote zinafanya kazi.
Kama ulishawahi kumiliki au kuendesha gari kabla ya haya automatic kujaa utakuwa unalijua hili.. Kama ulishawahi kupanda manual car utaona kuna gear river 2, kubwa na ndogo, ile ndogo ndiyo hutumika kuengage 4WD hasahasa ukiwa unapita kwenye rough road kama kwenye tope au mlima mkali..