5-1 uwanja wa nyumbani ni fedheha au dharau

5-1 uwanja wa nyumbani ni fedheha au dharau

Tlaatlaah

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2023
Posts
24,665
Reaction score
25,388
Kilichotokea Taifa leo, iwe ni funzo kwa vilabu vyetu vyote nchini, kwamaba mafanikio ya timu ya mpira wa miguu ni uwekezaji sahihi kwa wachezaji na miundombinu rafiki kwa wachezaji, na umahiri wa mipango, mafunzo, uhusianao mwema na mbinu za mwalimu wa soka kwa timu husika.
Viongozi wa vilabu sikilizeni na kufuata mapendekezo ya mwalimu wa soka katika timu husika. Gharama zisiwe kikwazo ndio uwekezaji wenyewe huo.

Maneno maneno na majigambo yasiyo na tija, yabaki tu pale karume kwenye kahawa na kashata.
Ramli na ushirikina vifanyike kama utani huko mtaani, kwani havina tija wala msaada kuendeleza soka la bongo kimataifa.
 
Tena kubwaaaa,ili kulifuta hili ni Simba kubadilika na kuwa na hasira uwanjani kupiga mpira wa kufa na kupona na kushinda mechi karibia zote na kutwaa ubingwa.

Nafasi ya kumfunga yanga wanayo game ya pili ila wajiapize na kuamua kwelikweli
 
Tena kubwaaaa,ili kulifuta hili ni Simba kubadilika na kuwa na hasira uwanjani kupiga mpira wa kufa na kupona na kushinda mechi karibia zote na kutwaa ubingwa.

Nafasi ya kumfunga yanga wanayo game ya pili ila wajiapize na kuamua kwelikweli
Utafuta kwa wachezaji na viongozi wa timu hawa hawa wanaocheza mpira wa mdomoni kuliko uhalisia?
 
Tena kubwaaaa,ili kulifuta hili ni Simba kubadilika na kuwa na hasira uwanjani kupiga mpira wa kufa na kupona na kushinda mechi karibia zote na kutwaa ubingwa.

Nafasi ya kumfunga yanga wanayo game ya pili ila wajiapize na kuamua kwelikweli
Labda kama hao Yanga wameshajihakikishia kuchukua ubingwa kwa mara ya 3 mfululizo, wanaweza kuwaachia mshinde kama ilivyotokea msimu uliopita.

Kinyume na hapo, maumivu yako pale pale. Kwa Yanga hii, nawaambia hamchomoki!
 
Maisha yanaenda kasi sana. Ukiflash back misimu miwili nyuma, mashabiki wengi wa Simba walikuwa wanatoa matusi pindi wakiona Kibu kawekwa 1st eleven.... Ila sasa hivi, Kocha akitaka afukizwe, basi Kibu aanzie bench.

Moral of the story: Hakuna kukata tamaa, hata wasiokupenda, kuna siku watakuimbia mapambio.
 
Back
Top Bottom