Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mombasa ipo kabla ya kufika gongo la mboto ukifika pale unaelekea kushoto kama unaenda Moshi bar kuna reli..nashindwa ku attach google location hapa kama hutojali nicheki watsappNyumba nzuri na eneo kubwa pia, ila kuna wengi hatujui hiyo sehemu au unalenga wanaopajua tu
Jaribu kuweka hata location ya Google Map mkuu
Maana hilo jina geni kwenye Google
Tuwekee boss