5 Terrible things you should Avoid when using the Internet

mkuu jaribu kuwa na maisha nje ya siasa na ushabiki wa kisiasa, relax ruhusu kujifunza mambo mengine nje ya chadema, mleta maada hajataja popote hata neno siasa tu, lakini wewe unaleta vijembe dhidi ya ccm? too irrelevant
Ndicho kilichoujaza Moyo wake na kumchefua. Hii ndio maana utawala Wa sheria na katiba ya watu vinahitajika 24/7. Wala ndizi wanasahau na wanaweza kuwaza mambo yao mengine kama haya ya mleta uzi huu, lakini mtupa maganda huwa hasahau. Hii ndio shida wanayopata watawala wanaopambana na makundi kama boko haram, alqaeda, ISIS, alshabab, Hama's, Kurd, Tamil, Taliban, etc. Wao hawasahau agenda/madai yao 24/7 lakini watawala sometimes huwa wanasahau kuwa kuna watu wenye malalamiko.
 
no
demon on earth will be able to guess it

kumbe na demons wanaingiaga internet!!
wapo that's why sometimes wakat unataka kulog in huwa wanakupa security confirmaration/test kuwa ww sio robot(/demon)
 
This is right.
Tunapaswa kuwa makini sana na tusione ni ufahari kuweka kila detail ya misha yetu katika social medias! It may cost someone oneday!
Pamoja sana mkuu.
 
mkuu jaribu kuwa na maisha nje ya siasa na ushabiki wa kisiasa, relax ruhusu kujifunza mambo mengine nje ya chadema, mleta maada hajataja popote hata neno siasa tu, lakini wewe unaleta vijembe dhidi ya ccm? too irrelevant
mkuu jaribu kuwa na maisha nje ya siasa na ushabiki wa kisiasa, relax ruhusu kujifunza mambo mengine nje ya chadema, mleta maada hajataja popote hata neno siasa tu, lakini wewe unaleta vijembe dhidi ya ccm? too irrelevant
Bado kunawafuata mkumbo kama huyo dogo abadilike sio kila kitu siasa tu
 
Hiyo ya mwisho iliniletea hasara sana hao jamaa walitumia back door kunivamia nikakuta wametuma virus kwenye mafile yale muhimu na yenye nyaraka ninazo tumia na kuzisoma kwa wakaniambia niwalipe dola mia tatu ndio wanirudishie files zangu so sad na wakatuma kwa email yangu account number yao waliniweza sana ikabidi niweke window mpya
 
Duuuhh
Pole sana mkuu
 
Kuna watu wanaingia internet cafe alafu browser inamuuliza " do you want to save your username and pasaword?" Na yeye anakubali tu.
 
mkuu jaribu kuwa na maisha nje ya siasa na ushabiki wa kisiasa, relax ruhusu kujifunza mambo mengine nje ya chadema, mleta maada hajataja popote hata neno siasa tu, lakini wewe unaleta vijembe dhidi ya ccm? too irrelevant
Ana maanisha wabongo walio wengi , povu la nini shekhe..
 
Thanks for the good message brother!
 
mkuu jaribu kuwa na maisha nje ya siasa na ushabiki wa kisiasa, relax ruhusu kujifunza mambo mengine nje ya chadema, mleta maada hajataja popote hata neno siasa tu, lakini wewe unaleta vijembe dhidi ya ccm? too irrelevant
Unampangia cha kufanya??
 
Wakuu namba moja (Synchronizing) inanisumbua na inanikera sana naomba msaada wa namna ya kujinasua.

Nikipost kitu kwa Twitter yangu either kushare ama kuretwitt automatically inaonekana kwa Facebook page yangu ambako sio mtumiaji wa mara kwa mara.

Nimejaribu kutafuta namna ya kujinasua lakini sijafanikiwa, naomba msaada wenu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…