5 Terrible things you should Avoid when using the Internet

Mimi cjakubaliana na we hats kidogo cause unakataza tuuuu hutoi effects of doing so wala kutaja source iliyoconclude hzo theory!!! By the way xkuamini Mzee baba
 
Mimi cjakubaliana na we hats kidogo cause unakataza tuuuu hutoi effects of doing so wala kutaja source iliyoconclude hzo theory!!! By the way xkuamini Mzee baba

ha ha ha ha ha
utaamini vipi umasaini wanakula nyama bila chumvi kama sio mmasai au mlaji?
Thread haipo kukuaminisha wewe wala haipo kukulazimisha uifuate bali ni kwa wanaojua na kuelewa ndio watakuwa wameelewa.
hata 90 wakapata 100 na kumi 99 bado tutasema wakwanza na wamwisho
 
Mimi cjakubaliana na we hats kidogo cause unakataza tuuuu hutoi effects of doing so wala kutaja source iliyoconclude hzo theory!!! By the way xkuamini Mzee baba
Maaana hata JF naona Umejiunga Leo
Kuna Mambo umehelewa kidogo ni vyema ukauliza kwa namna njema ya kujifunza wala sio kwa ujuaji huenda ukasaidiwa kile ulichokikosa hakuna aliye 100/100 sikuzote tunajaziana
 
Maaana hata JF naona Umejiunga Leo
Kuna Mambo umehelewa kidogo ni vyema ukauliza kwa namna njema ya kujifunza wala sio kwa ujuaji huenda ukasaidiwa kile ulichokikosa hakuna aliye 100/100 sikuzote tunajaziana
Kwahy ukituzuga tunyamaze tu!!kkisa nimejiunga leo
 
Kwahy ukituzuga tunyamaze tu!!kkisa nimejiunga leo
HA ha ha ha ha
Hamna Sinamaana yakuwa ametuzuga bali nina maana yakuwa amezungumza uhalisia
mfano ukiwa na ufahamu kidogo tu namna amba njia zinazotumiwa na wadukuzi(hackers)
basi huwezi kuwa na shakahata kidogo juu ya hili.
alichosema ni ukweli kabisa
 
And that's why nmemwambia basi angesema na effects za hvyo vtu anavyozuia kwa mfano how can the same password simplyfy hacking???
 
And that's why nmemwambia basi angesema na effects za hvyo vtu anavyozuia kwa mfano how can the same password simplyfy hacking???

Mfano Uki link Account yako ya insta na Facebook then nikafanikiwa kuhack account yako ya fb basi ujue na insta inakuwa rahisi kuingia
so itategemeana umelink account ngapi
lakini ukifungua insta tofauti na fb tofauti password tofauti then ukalink ni safe

madhara naweza ingia katika account yako nikapost visivyoendana nawewe je hayo si madhara?
watu wanapostiwa mambo ya hovyo kuchafuliwa nk
hope you know
 
nakuelewa sana tu! Sasa je kuna madhara gan Kama passwords in same lakini sijalink Accounts??
 
mkuu jaribu kuwa na maisha nje ya siasa na ushabiki wa kisiasa, relax ruhusu kujifunza mambo mengine nje ya chadema, mleta maada hajataja popote hata neno siasa tu, lakini wewe unaleta vijembe dhidi ya ccm? too irrelevant
ahahahaaaaa naona mejitokeza baada ya jamaa kusema sijui kama meelewa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…