UbarikiweUkifisha miaka 50+ metabolism inabadilika kutokana na aging process. Ni muhimu kubadilisha life style, kama ni mnywaji punguza kiwango cha pombe, ongeza kiwango cha mboga na matunda katika mlo na pia kufanya mazioezi hata kutembea kwa saa moja kila siku kunasaidia.
Magonjwa kama kisukari
Hypertension yasipoangaliwa husababisha stroke.
Kupima PB na sugar levels kwenye damu kunaokoa maisha na pesa nyingi za gharama za matibabu.
Ukifisha miaka 50+ metabolism inabadilika kutokana na aging process. Ni muhimu kubadilisha life style, kama ni mnywaji punguza kiwango cha pombe, ongeza kiwango cha mboga na matunda katika mlo na pia kufanya mazioezi hata kutembea kwa saa moja kila siku kunasaidia.
Magonjwa kama kisukari
Hypertension yasipoangaliwa husababisha stroke.
Kupima PB na sugar levels kwenye damu kunaokoa maisha na pesa nyingi za gharama za matibabu.
Kama ni mzito sana aanze kupungua kwa diet kwanza ndiyo aanze push ups. Anaweza kuanza kutembea au jogging mdogo mdogoAiseee kuna siku nilikwenda kumtembelea bro sasa wakati tunatoka nikaona pipe juu nikapiga push-up kama 15. Kushuka nikamwambia bro jaribu utapiga ngapi alijaribu nasikia kelele na pumzi kibao zikimtoka. Nikamwambia unahitaji mazowezi bro manake kwenye kula huyu bro anakula hatareee. Mazoezi na afya bora, ndio msingi mzuri wa maisha
Ndukiiiii πββοΈπββοΈπββοΈ
Nilianza kupiga push-up darasa la saba hadi sasa, kifua kimevimba kama baunsa hadi najichukia, ila siwezi achaDalili nzuri ni kuwa na flat tummy, kitambi si dalili nzuri
Sio mzito sana tatizo hapendi kufanya mazoezi lakini anapenda kula. Hata 25 hajafikaKama ni mzito sana aanze kupungua kwa diet kwanza ndiyo aanze push ups. Anaweza kuanza kutembea au jogging mdogo mdogo
Halali imegeuka haramDunia haina haki, fikiria ulipokuwa shule ulikula ugali maharage, chuo ulikula bilinganya na wali. Ulipoanza kazi ulikula sana mchicha ukijipanga. Sasa uko 50 na kiposition kazini unaambiwa upunguze kula nyama na bia.
Mazoezi sio push up tu mkuuNilianza kupiga push-up darasa la saba hadi sasa, kifua kimevimba kama baunsa hadi najichukia, ila siwezi acha
World not fair bora ellian wawo hawapitii changamoto kama hizi kwenye sayari yaoDunia haina haki, fikiria ulipokuwa shule ulikula ugali maharage, chuo ulikula bilinganya na wali. Ulipoanza kazi ulikula sana mchicha ukijipanga. Sasa uko 50 na kiposition kazini unaambiwa upunguze kula nyama na bia.