500 Tons za makopo zinahitajika kwa mwezi!

500 Tons za makopo zinahitajika kwa mwezi!

G12

Senior Member
Joined
Aug 31, 2012
Posts
156
Reaction score
51
Wadau!

Tunatafuta wadau wawili au watatu wa uhakika wenye uwezo wa ku supply kwa pamoja jumla ya tani 500 kwa mwezi za PET flakes (makopo matupu yanayotumika kutunza maji ya kunywa, soda, n.k).
Ikiwa upo Tanzania na una uhakika unaweza ku supply kiwango hicho kwa mwezi. Tafadhali tuwasiliane kupitia e-mail hii(info@g12.hk).

Naomba kwa wale wenye uwezo huo ndio wanitafute, hii biashara ina process zake ambazo siyo rahisi kwa mtu ambaye hana investment ya kutosha.

Pia inawezekana huna investment, lakini unajua namna ya kupata haya material, usisite kunitafuta then nitakuunganisha na wadau wakubwa ili uweze kuuza kwao, finally sisi tutanunua kwao, ili kurahisisha mchakato mzima na kuhakikisha kila mwenye interest anafaidi kulinagana na mchango wake.

Nyongeza kuhusu makopo tunayotaka:
The recycling source of PET flakes is usually from soft drink bottles. Such as Coca bottle, sprite bottle, mineral water bottle

G12 International Company Ltd.
 
Back
Top Bottom