ubongokid
JF-Expert Member
- Apr 30, 2017
- 2,154
- 4,184
Habari wadau;
Biashara inauzwa 51%
Atakayenunua atakuwa mmiliki kwa asilimai 51%
Kwanza hii sio biashara kubwa in terms of assets and cashflow kwa sababu ya namna ya uendeshaji wake ila kwa kuwa huyu mnunuaji atakuwa part owner na 50% ya gharama za mauzo itakuwa reinvested kwenye biashara.
Biashara inahusika na shuguli anuai za aina tano.Lengo la kutaka kuuza huu umiliki ni ili kuisajili na kuirasimisha kabisa ikiwa ni pamoja na kulipa kodi ili tuweze kufanya kazi kubwa.
Mnunuzi atakuwa majority shareholder,ila kwa kuwa muuzaji ataingiza 50% ya bei ya mauzo kwenye mtaji kunaweza kuwa na mabadiliko kidogo ya ownership structure kutegemea na maongezi.
Offer Price ya Mauzo inaanzia shilingi milioni tatu na kundelea.Gharama inaweza kupanda na kushuka kutegemea na maongezi na makubaliano
Karibuni
Biashara inauzwa 51%
Atakayenunua atakuwa mmiliki kwa asilimai 51%
Kwanza hii sio biashara kubwa in terms of assets and cashflow kwa sababu ya namna ya uendeshaji wake ila kwa kuwa huyu mnunuaji atakuwa part owner na 50% ya gharama za mauzo itakuwa reinvested kwenye biashara.
Biashara inahusika na shuguli anuai za aina tano.Lengo la kutaka kuuza huu umiliki ni ili kuisajili na kuirasimisha kabisa ikiwa ni pamoja na kulipa kodi ili tuweze kufanya kazi kubwa.
Mnunuzi atakuwa majority shareholder,ila kwa kuwa muuzaji ataingiza 50% ya bei ya mauzo kwenye mtaji kunaweza kuwa na mabadiliko kidogo ya ownership structure kutegemea na maongezi.
Offer Price ya Mauzo inaanzia shilingi milioni tatu na kundelea.Gharama inaweza kupanda na kushuka kutegemea na maongezi na makubaliano
Karibuni