5G itaanza kupatikana kwa watumiaji wa iPhone nchini Tanzania 🇹🇿 katika iOS 16.4

5G itaanza kupatikana kwa watumiaji wa iPhone nchini Tanzania 🇹🇿 katika iOS 16.4

Apollo

JF-Expert Member
Joined
May 26, 2011
Posts
4,920
Reaction score
3,240
5G Tanzania.jpg


Apple imeongeza 5G support katika maeneo mbalimbali duniani. Tanzania ni moja kati ya maeneo ambayo sasa watumiaji wa iPhone 12 na kuendelea wanaweza kupata mtandao wa 5G.

Kwa ripoti nyingi zinaonyesha baadhi ya maeneo ambayo kwa iOS 16.4 yamepata support ya 5G ni Macau na Uturuki. Lakini kwa Tanzania pia nimeona tayari settings za 5G zimeanza kupatikana na kama unatumia mtandao wa Vodacom au tiGO utaona settings hizo zinapatikana na ukiwasha indicator inaonekana.

Inawezekana pia kwa watumiaji wa Kenya, na nchi nyingine za Afrika Mashariki wanaweza kupata sehemu hii.

5G Tanzania.jpg
 
Nikikumbuka malalamiko ya kuishiwa bundle kwa wateja kwenda customer care kipindi 4G na LTE zimeingia[emoji38][emoji38][emoji38].

Sijui itakuwaje,unaona raha tu kuflow,dkk 5 mbele wazungu hawa hapa"umetumia 75% ya kifurushi chako cha data mb 2048"

[emoji20][emoji20]
Tuna hamu na tech mpya ila wallets zinakataa haziendani na matamanio yetu.
 
Nikikumbuka malalamiko ya kuishiwa bundle kwa wateka kwenda customer care kipindi 4G na LTE zimeingia[emoji38][emoji38][emoji38].

Sijui itakuwaje,unaona raha tu kuflow,dkk 5 mbele wazungu hawa hapa"umetumia 75% ya kifurushi chako cha data mb 2048"

[emoji20][emoji20]
😂😂😂 Dk tano wazungu hawa apa
 
Nikikumbuka malalamiko ya kuishiwa bundle kwa wateja kwenda customer care kipindi 4G na LTE zimeingia[emoji38][emoji38][emoji38].

Sijui itakuwaje,unaona raha tu kuflow,dkk 5 mbele wazungu hawa hapa"umetumia 75% ya kifurushi chako cha data mb 2048"

[emoji20][emoji20]
Hii taarifa ya 75% huwa inanishtua sana, maana naunga bando la wiki kila siku 😂
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Bora uwe unaunga bando la siku kila siku walau upate MB za kutosha. Sasa unakuta mtu ndani ya siku kajiunga kifurushi cha wiki mara tatu[emoji28][emoji28]
Huwa nikijiunga najisemea siingii Insta na sitawatch video lakini najisaliti. Sean bridon wananimalizia sana Mb 😂
 
Hiyo smart bila insta,au youtube inakuwa ni redio tu ya national[emoji1787][emoji1787]

Siku hizi mpaka watsapp inapiga data mbaya kwenye status ukiangalia.
😂 raha ya simu janja ndio hiyo

Status zinakula mb sana nilikua sifahamu hata hivyo mimi sio mpenz wa whatsap naweza pitisha siku mbili sijaifungua na nimeturn off notifications sipati update yeyote mpaka niamue kuingia.
 
Back
Top Bottom