๐๐๐ Dk tano wazungu hawa apaNikikumbuka malalamiko ya kuishiwa bundle kwa wateka kwenda customer care kipindi 4G na LTE zimeingia[emoji38][emoji38][emoji38].
Sijui itakuwaje,unaona raha tu kuflow,dkk 5 mbele wazungu hawa hapa"umetumia 75% ya kifurushi chako cha data mb 2048"
[emoji20][emoji20]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23] Dk tano wazungu hawa apa
Na hapo kwenye unlimited kampuni zinataka ununue vifaa vyao5G inatakiwa itumike kwa njia ya unlimited internet. Hivi vifurushi vya kibaba havifai.
Hii taarifa ya 75% huwa inanishtua sana, maana naunga bando la wiki kila siku ๐Nikikumbuka malalamiko ya kuishiwa bundle kwa wateja kwenda customer care kipindi 4G na LTE zimeingia[emoji38][emoji38][emoji38].
Sijui itakuwaje,unaona raha tu kuflow,dkk 5 mbele wazungu hawa hapa"umetumia 75% ya kifurushi chako cha data mb 2048"
[emoji20][emoji20]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]4G tu inaninyoosha..
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Bora uwe unaunga bando la siku kila siku walau upate MB za kutosha. Sasa unakuta mtu ndani ya siku kajiunga kifurushi cha wiki mara tatu[emoji28][emoji28]Hii taarifa ya 75% huwa inanishtua sana, maana naunga bando la wiki kila siku [emoji23]
Huwa nikijiunga najisemea siingii Insta na sitawatch video lakini najisaliti. Sean bridon wananimalizia sana Mb ๐[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Bora uwe unaunga bando la siku kila siku walau upate MB za kutosha. Sasa unakuta mtu ndani ya siku kajiunga kifurushi cha wiki mara tatu[emoji28][emoji28]
Huwa nikijiunga najisemea siingii Insta na sitawatch video lakini najisaliti. Sean bridon wananimalizia sana Mb [emoji23]
๐ raha ya simu janja ndio hiyoHiyo smart bila insta,au youtube inakuwa ni redio tu ya national[emoji1787][emoji1787]
Siku hizi mpaka watsapp inapiga data mbaya kwenye status ukiangalia.