Hapo nimeelewa hivi,
1. Uko married tayari,
2. hauko married kwa sasa ila ulishawahi kuwa married,
3.Umri wako wa kuolewa bado,
4. Huna interest kabisa na mambo ya kuolewa.
sasa hapo kipi ni kipi my dear...thinking aloud as well
ni jeuri ya pesa kwa kikongwee...na kwelii atamuuaaa kwa pressure soon.....na lazima atakuja kumshindwa tu...ila ni mtoto mzuri sanna .....huyuu ni babu yake kabisa.....akienda kwa wakwe zake anakuta yeye mkwe ana umri mkubwa kuliko wazaa chema....duuu pesa hizi hayaaa