Kwa swali dogo namna hiyo?Akili testing mkuu
Pendaelli una kiswahili kigumu sanaUnge weka na kapicha cha hizo hela
Kama ni hivyo aweke na "chengine"!Hamna namna.Pendaelli una kiswahili kigumu sana
Kama kuna sehemu unaona kuna ufisadi unafanyika unaruhusiwa kusema mkuu ili kuweka nchi yetu salamaAt some point ilikua unaingia JF kukutana na watu wanaelezea pale bandari kuna ufisadi. Hii ikasababisha mpaka baadhi ya wanajukwaa kutafutwa na polisi na wamiliki wa JF kushinda central.
Leo hii 🤣🤣🤣
Umri wako tafadhali 🤣🤣Akili testing mkuu