Drone Camera
JF-Expert Member
- Jul 25, 2017
- 14,041
- 13,907
Kama Kenya ilivyo ya Kenyatta.... Hadi mmeshindwa lima mnalia njaa.
Hku hatukodi ardhi kutoka kw serikali, sio km hko ujamaa republicKama Kenya ilivyo ya Kenyatta.... Hadi mmeshindwa lima mnalia njaa.
Mbona mnakosa ardhi ya kulima sasa?Hku hatukodi ardhi kutoka kw serikali, sio km hko ujamaa republic
Sent using Jamii Forums mobile app
Mashamba ya tele, labda figisu figisu tu za wanayoyasimamia..Mbona mnakosa ardhi ya kulima sasa?
Haha sasa ufanyiwe figisu na nan ilhali ardhi ni yako? Cheki unavyojifunga mwnyw... Kenya ardhi ipo chini ya wenyewe usifikir unadanganya mtoto hapa.Mashamba ya tele, labda figisu figisu tu za wanayoyasimamia..
Mda mwingine km hujui uliza
Sent using Jamii Forums mobile app
HaahaSomeni comments za kwnye hiyo tweet , hamtahangaika kucomment hapa [emoji23].
Sent from my iPhone using JamiiForums
Unaongelea mashamba gani wewe...khee!!Haha sasa ufanyiwe figisu na nan ilhali ardhi ni yako? Cheki unavyojifunga mwnyw... Kenya ardhi ipo chini ya wenyewe usifikir unadanganya mtoto hapa.
Bwahahaa!!mwenyewe kivipi na wakati hku ukinunua ardhi ni yako milele..Haha sasa ufanyiwe figisu na nan ilhali ardhi ni yako? Cheki unavyojifunga mwnyw... Kenya ardhi ipo chini ya wenyewe usifikir unadanganya mtoto hapa.
Si mlime sasa...au nyie ni wavivu..... Hadi anayenyanganywa ardhi anawazidi... See how fool you areBwahahaa!!mwenyewe kivipi na wakati hku ukinunua ardhi ni yako milele..
Sio km nyie hko ukitaka umiliki wa hati lazima ukodi[emoji1787][emoji1787]
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kelele tu unapiga coz tunaijua hiyo nchi vzr sanaUnaongelea mashamba gani wewe...khee!!
Mi naongelea irrigation schemes, wanaoyasimamia ndio hawana ukwel...
Na km ni kuhusu mashamab ya watu binafsi mbna ya tele jomba...tembea ujionee ukwel wa mambo, acha kukaa vijiweni utapotoshwa
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwn unafikiria kila mtu ana mawazo km yako...Si mlime sasa...au nyie ni wavivu..... Hadi anayenyanganywa ardhi anawazidi... See how fool you are
Hehee!!naona umekalia kuti kavu, toka hko tandale utembee wacha kupumbazwa vijiweni[emoji1787][emoji1787]Ni kelele tu unapiga coz tunaijua hiyo nchi vzr sana
We ukizamia miji ya watu lazima utaenda hko kujistiri..kuna mpka watanzania
Nyie msio na mawazo ya ukulima mmefikia wap katika kujitegemea kwa basic needs kama chakula?Kwn unafikiria kila mtu ana mawazo km yako...
Ndio manake mnarundikana uswazi dar kisa mnatoroka kulima mihogo vijijini..
Yani mtanzania hana mawazo kabisa, asipoajiriwa serekalini basi hana mawazo mengine zaidi ya ukulima
Sent using Jamii Forums mobile app
Naona umekomalia uswazi tandale au tunaishi wote nyumba moja huko?Hehee!!naona umekalia kuti kavu, toka hko tandale utembee wacha kupumbazwa vijiweni[emoji1787][emoji1787]
Wenzenu hku wanapiga dili zao freshy2(wachaga)
Sent using Jamii Forums mobile app
Tumefikia uamuzi wa kununua, je na nyie mliokamilia ukulima mmejipangaje kujitoa kw multidimensional poverty?Nyie msio na mawazo ya ukulima mmefikia wap katika kujitegemea kwa basic needs kama chakula?
Ndio utoke nje ya mipak utembee wacha kupayuka mitandaoni tuNaona umekomalia uswazi tandale au tunaishi wote nyumba moja huko?
Majority ni Wakenya,watanzania hawayawezi maisha ya namna hiyo,bora wabaki nyumbani tu. Na kama wageni wangekuwa wengi eneo hilo amini kusingekuwa na kibera leo.We ukizamia miji ya watu lazima utaenda hko kujistiri..kuna mpka watanzania
Sent using Jamii Forums mobile app