Ata iweje awa jamaa ni watofautl sanaaa wanaishi kwenye nyumba za ajabu ajabu.kwa kwetu tz banda la kuku kwao inahesabika ni nyumba pia wakenya ni wachafuuu
Kama umenunua nyumba kwenye estate kwa mkopo,hiyo sio yako mpaka utakapomaliza deni miaka 20
Wakenya wengi wanaishi kwenye nyumba za estate,waliobaki wapo kwenye mabanda ya maboksi