#COVID19 63% ya wanawake Tanzania wako tayari kupata chanjo ya COVID19

#COVID19 63% ya wanawake Tanzania wako tayari kupata chanjo ya COVID19

Analogia Malenga

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2012
Posts
5,108
Reaction score
10,191
Taarifa ya NBS imeonesha wanawake wenye utayari wa kupata chanjo ya UVIKO ni wengi zaidi kuliko wanaume. Ambapo 63% ya wanawake ambao hawajapata chanjo wako tayari kupata chanjo wakati ni 53% tu ya wanaume ambao hawajapata chanjo wako tayari kupata chanjo.

Kwenye upande wa maeneo watu wa Zanzibar wameonesha utayari zaidi kuliko watu wa Tanzania Bara.
1652785744581.png
 
hizi story bado zipo tu ?
mi mpaka nilishasahau story za covid kabisa
 
Kwa chanjo ipi sasa iyo 2ml ?
Au wanafanya tafiti kuwaridhisha ma bwanyenye.
 
Back
Top Bottom