7 percent ya Mass. marriages, inatisha!

BELINDA,
Sorry, nilichomaanisha ni kwamba, Mungu alimuumba binadamu na kumaanisha marriage iwe kwa opposite sex.Hayo ndo maumbile niliyozungumzia.
Its realy shocking my dear.

Asante kwa marekebisho,nimekupata vizuri sasahivi kwa maelezo yako.
NB: Don't be shocked for the rest of your life, ha ha!..
 
mkuu hio kazi yake nini?
 
BELINDA,
Sorry, nilichomaanisha ni kwamba, Mungu alimuumba binadamu na kumaanisha marriage iwe kwa opposite sex.Hayo ndo maumbile niliyozungumzia.
Its realy shocking my dear.

...Prejudice is a foolish sin!
 
Hapa Bongo haya mambo yapo,au tumewasahau akina Aunt Moody,Aunt Kessy na wengineo, vipi nyumba nthobu kule Tarime vipi? Tofauti na kwa wenzetu huko ni publicity ya jambo lenyewe. Huku ni aibu kwa mhusika na familia yote lakini huko ughaibuni ni haki za binadamu.

Sijafika Marekani lakini kijiweni jamaa huwa anatupa story eti mtoto mdogo ukimnyima ruhusa kwenda disco basi anakupeleka polisi. Mambo ya maadili na haki za binadamu zinatofautiana toka jamii moja na jamii nyingine.

Vipi hiyo Sodoma ikifanywa kule Iran?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…