Kurutamjanja
JF-Expert Member
- Nov 21, 2013
- 396
- 374
Aisee kwakweli hawa ndugu zetu warangi wameukimbia kabisa mji wao wa Kondoa na wamekuja kujazana Arusha katika eneo la Ngarenaro, Eneo hili la ngarenaro limejaa warangi na ukifika Ngarenaro leo unaweza ukahisi uko Kondoa.
Sasa nachoshangaa mm ni kwamba kwann warangi wakimbilie arusha tu na kujazana ngarenaro na si mikoa mingine na hata hapa arusha kwanini isiwe mitaa mingine ya Arusha iwe ngarenaro tu.
Na biashara zao kubwa hapa ni kukaanga vichwa na miguu ya kuku, na samaki wa dogo wajulikanao kama wajasiliamali, jamani watani zangu warangi rudini Kondoa mkaujenge mji wenu.
Sasa nachoshangaa mm ni kwamba kwann warangi wakimbilie arusha tu na kujazana ngarenaro na si mikoa mingine na hata hapa arusha kwanini isiwe mitaa mingine ya Arusha iwe ngarenaro tu.
Na biashara zao kubwa hapa ni kukaanga vichwa na miguu ya kuku, na samaki wa dogo wajulikanao kama wajasiliamali, jamani watani zangu warangi rudini Kondoa mkaujenge mji wenu.