80/20 rule hiyo mama mchungaji!
Unaweza kuta kaweka kambi Kaunta hahahahaahah
Baba mchungaji embu anzisha mkakati wa kuwakumbusha wenzako maana hata hapa naona wamekaa mbali kweli!!!Alafu na wewe sio unasema tu....yasije yakanikuta hayo hayo!!:sick:
Mimi napata hiyo 80 % kwa 20% yangu.....sihitaji nje hiyo 20% itakayo ni - cost 80%
NB umeona nilivyompotezea yule jamaa yetu hahahahahahahaha!