80 kph kwa dunia ya leo ni realiastic?

80 kph kwa dunia ya leo ni realiastic?

Oldskul

Member
Joined
Jan 12, 2013
Posts
85
Reaction score
153
50 kph kwa maeneo ya miji na 80 kph kwa highway kwa magari makubwa. Nikiangalia dunia ya leo na maendeleo ya teknolojia hasa upande wa braking teknolojia tuna abs systems. Disc brakes etc. Etc hivyo stoping power imekua ya hali. Wadau nahisi tukiweka hata angalau 120 kph as maxmum on highways na 70 kph as maxmum around town. Nadhan bado tutakua salama.

Note.

Tusiangalie speed kama chanzo pekee cha ajali....
 
50 kph kwa maeneo ya miji na 80 kph kwa highway kwa magari makubwa.... Nikiangalia dunia ya leo na maendeleo ya teknolojia hasa upande wa braking teknolojia tuna abs systems.. Disc brakes etc... Etc hivyo stoping power imekua ya hali.... Wadau nahisi tukiweka hata angalau 120 kph as maxmum on highways na 70 kph as maxmum around town... Nadhan bado tutakua salama...

Note... Tusiangalie speed kama chanzo pekee cha ajali....
Nlichogundua unataka kujiua kwa ajali.... ila hapa unatafuta wanachama.. utafanikiwa tu ukijitahidi... [emoji2][emoji2]. ILA
unachopaswa kufahamu sio spidi inayosababisha ajali.... ila vitu vidogo vidogo vinavyotekea ukiwa kwenye speed...mfano tairi kupasuka..au shimo, upepo au gari kuyumba.. wanapozuia spidi ... hawana shaka na uwezo wa brake.. Ila.. sio mbaya.. jaribu kutembelea 120 mara kwa mara.. utafanikiwa lengo lako.
 
Nlichogundua unataka kujiua kwa ajali....ila hapa unatafuta wanachama..utafanikiwa tu ukijitahidi...[emoji2][emoji2] .ILA
unachopaswa kufahamu sio spidi inayosababisha ajali....ila vitu vidogo vidogo vinavyotekea ukiwa kwenye speed...mfano tairi kupasuka..au shimo,upepo au gari kuyumba..wanapozuia spidi ...hawana shaka na uwezo wa brake..Ila..sio mbaya..jaribu kutembelea 120 mara kwa mara..utafanikiwa lengo lako.
Kaka kama hufahamu jumuiya ya afrika mashariki imeshakwisha bariki kutumika kwa 110 kph on highways.... Nchi zote washirika zimeridhia ikiwemo tanzania... Wizara ya miundombinu kushirikianana na wizara ya mambo ya ndani waimeshatoa tamko kuwa wanaandaa mabadiliko ya sheria na maboreshoya miundombinu kuendana na mabadiliko hayo... Mwakani muswada utawasilishwa bungeni... Jipange mzee
 
speed 80kph kiuhalisia ni ndogo sana jaman...heeeeeh utadhan unasindikiza harusi? at least 110 kwenye lami ipo ok. la msingi kuhusu tairi nao trafik wafanye ukaguzi wa mara kwa mara kwa gari zenye tairi mbovu zisiwe barabarani. ukaguzi wa kila mara wa break system n.k . na ni kusimamia pia upatikanaji wa madereva wenye nidhamu. hamna haja ya mashindano barabarani.

Kaka kama hufahamu jumuiya ya afrika mashariki imeshakwisha bariki kutumika kwa 110 kph on highways.... Nchi zote washirika zimeridhia ikiwemo tanzania... Wizara ya miundombinu kushirikianana na wizara ya mambo ya ndani waimeshatoa tamko kuwa wanaandaa mabadiliko ya sheria na maboreshoya miundombinu kuendana na mabadiliko hayo... Mwakani muswada utawasilishwa bungeni... Jipange mzee
 
Hilo la 120km/h kwa magari makubwa mie siafiki maana sote tumekua mashahindi tangu mkazo uwekwe kwenye 80km/h ajali zimepungua kwakiasi kikubwa nawakati huohuo tukubali maneno ya wahenga kawia ufike.
 
Spidi kali haijawahi kumuua mtu yoyote, ni pale unaposimamishwa na kitu/mtu kwa ghafla, hicho ndio hukuondoa.
 
Kihuhalisia ajali nyingi za mabasi madereva huwa wamelewa.... Speed ni chache... Lakini nyingi ni speed na pombe.... Hapo unapata balaa....

Ila speed 80 dunia ya leo ni mwendo wa kuendea harusin
 
50 kph kwa maeneo ya miji na 80 kph kwa highway kwa magari makubwa.... Nikiangalia dunia ya leo na maendeleo ya teknolojia hasa upande wa braking teknolojia tuna abs systems.. Disc brakes etc... Etc hivyo stoping power imekua ya hali.... Wadau nahisi tukiweka hata angalau 120 kph as maxmum on highways na 70 kph as maxmum around town... Nadhan bado tutakua salama...

Note... Tusiangalie speed kama chanzo pekee cha ajali....
Usiangalie dunia ya leo mkuu,angalia kwa miundombinu yetu ni realistic?ukiangalia duniani ina maana unazungumzia mpaka nchi zilizoendelea sasa ukizilinganisha na TZ utakuwa unakosea!kwa miundombinu ya TZ hata kuendesha 120kph bado ni hatari,shida ni miundombinu yani kukuta highway ina mashimo ni kitu cha kawaida
 
50 kph kwa maeneo ya miji na 80 kph kwa highway kwa magari makubwa.... Nikiangalia dunia ya leo na maendeleo ya teknolojia hasa upande wa braking teknolojia tuna abs systems.. Disc brakes etc... Etc hivyo stoping power imekua ya hali.... Wadau nahisi tukiweka hata angalau 120 kph as maxmum on highways na 70 kph as maxmum around town... Nadhan bado tutakua salama...

Note... Tusiangalie speed kama chanzo pekee cha ajali....
Uko sahihi kabisa 50Kph ni kupoteza muda kwenye safari.
 
Usiangalie dunia ya leo mkuu,angalia kwa miundombinu yetu ni realistic?ukiangalia duniani ina maana unazungumzia mpaka nchi zilizoendelea sasa ukizilinganisha na TZ utakuwa unakosea!kwa miundombinu ya TZ hata kuendesha 120kph bado ni hatari,shida ni miundombinu yani kukuta highway ina mashimo ni kitu cha kawaida
Yah at some kuna ukwel lakin hizi sheria wakat wanatunga ilikua barabara za highway 80% ni rough road.... Sa hivi 90% ya barabara zinazounganisha mikoa ni lami...
 
Ni wazo zuri ila wengi wa madereva wamezoea njia za mijini, kuingia highways ni shida.
Pia sheria hazifuatwi kama zilivyo wengi wanazivunja sana.

Pitia autobahn uone nidhamu yao hadi raha
 
Back
Top Bottom