80% ya Wadada wa kibongo wanategemea mabuzi

bestmale

JF-Expert Member
Joined
Dec 6, 2015
Posts
3,067
Reaction score
1,805
Siku zima likemeka Home hakuna kazi yeyote anayo ifanya ata usafi Zero kazi tu kuagizia chips na kuangalia tamthilia same time wapo kwenye social media kama insta .badoo na tinder kuwachuna mabuzi A.K.A mabwege .. haya endeleyeni na iyo kazi ila yanamwisho mbaya
 
Lady bado yapo huko badoo na tinder yanaliwa vihela vidogo vidogo vya nauli hahahaha kuna wadada wanapiga mizinga ya buku tano tano kwa siku hakosi hadi buku Mia kwa kutumia Smart phone yake tu
Hv siku hizi Kuna mabuzi au mbuzi!!! mabuzi yalikua enz za jk..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…